Hii picha inaeleza mengi zaidi ya kampeni, wanaonekana wazee na vijana wenye matumaini na kitu fulani, angalia mavazi ya huyo mtoto kushoto je wazazi wake wana hali gani. Huwezi amini hali ya watu hawa ndio walikuwa chini ya mbunge anayesadikiwa kuwa na mikataba ya mabilioni? ambaye nchi yote na viongozi wako mfukoni mwake.
MAANDAMANO YA KUMSIKIKIZA KASHINDYE KWENYE GARI LAKE WAKIWEMO KAMANDA SUSAN
KIWANGA NA KAMANDA KASAMBALYA. HAWA NI WANAKIJIJI WENYEWE NA SIYO WAKULETWA NA
MALORI KUTOKA MBALI.
Hii picha inaeleza mengi zaidi ya kampeni, wanaonekana wazee na vijana wenye matumaini na kitu fulani, angalia mavazi ya huyo mtoto kushoto je wazazi wake wana hali gani. Huwezi amini hali ya watu hawa ndio walikuwa chini ya mbunge anayesadikiwa kuwa na mikataba ya mabilioni? ambaye nchi yote na viongozi wako mfukoni mwake.
Naomba muusamehe ujinga wangu!
Hivi hilo jimbo ni Igunga mjini au vijijini; au ni la mjini likichukua na baadhi ya vijiji? Siku zote mimi nafikiri RA alikuwa ni mbunge wa lgunga mjini!
Samahani tena!
MAANDAMANO YA KUMSIKIKIZA KASHINDYE KWENYE GARI LAKE WAKIWEMO KAMANDA SUSAN
KIWANGA NA KAMANDA KASAMBALYA. HAWA NI WANAKIJIJI WENYEWE NA SIYO WAKULETWA NA
MALORI KUTOKA MBALI.
maandamano ya kumsikikiza kashindye kwenye gari lake wakiwemo kamanda susan
kiwanga na kamanda kasambalya. Hawa ni wanakijiji wenyewe na siyo wakuletwa na
malori kutoka mbali.
Kulikuwepo na ubwabwa mweupe na pilau! Kudus CDM