Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Hawa jamaa wanaripoti CCM tu Igunga harafu wananyamaza bila aibu. tena pale tu CCM wanapokuwa wanajitahidi kujibu hoja kwa kudanganya.
Wataripoti kitu gani cha wamwagia watu tindikali na wapiga wakuu wa wilaya?Ni siku ya pilli leo nashangaa ITV wanaonesha CCM tu hawaoneshi vyama vingine kuna nini? Mbona hapo nyuma kilikuwa kituo kizuri cha kutoa habari? Kuna nisilolijua?
Ni siku ya pilli leo nashangaa ITV wanaonesha CCM tu hawaoneshi vyama vingine kuna nini? Mbona hapo nyuma kilikuwa kituo kizuri cha kutoa habari? Kuna nisilolijua?
I don' understand! ITV ya IPP Meadia au ITV UK?!
<br />Mimi nadhani baada ya Rostam kutoka CCM, Reginald Mengi sasa ana business conflicting interest na Mbowe
None of the above, ni ITV Media. Hizo za ITV Meadia na ITV Uk wazijua wewe.
Juzi ITV walionyesha Chadema pekee yake, jana saa 2 usiku ilianza na CCM kupitia Wassira akijibu maswali magumu (aliripoti Novatus Makunga),ikafuata Chadema kupitia Dr Slaa na Kashindye (aliripoti Ufoo Saro), then CUF kupitia kwa Profesa Lipumba). Kwenye hili napingana na wewe Mkuu ITV wamejitahidi kuonyesha Chadema karibu kila siku isipokuwa leo asubuhiNi siku ya pilli leo nashangaa ITV wanaonesha CCM tu hawaoneshi vyama vingine kuna nini? Mbona hapo nyuma kilikuwa kituo kizuri cha kutoa habari? Kuna nisilolijua?
Ni siku ya pilli leo nashangaa ITV wanaonesha CCM tu hawaoneshi vyama vingine kuna nini? Mbona hapo nyuma kilikuwa kituo kizuri cha kutoa habari? Kuna nisilolijua?
Ni siku ya pilli leo nashangaa ITV wanaonesha CCM tu hawaoneshi vyama vingine kuna nini? Mbona hapo nyuma kilikuwa kituo kizuri cha kutoa habari? Kuna nisilolijua?
<br />Wataripoti kitu gani cha wamwagia watu tindikali na wapiga wakuu wa wilaya?
Kwa sababu mmiliki wa ITV ni kada wa CCM na mdau mkubwa wa serikali iliyopo madarakani. Ni wakati wa CHADEMA au makada wake kuanzisha TV stations zitakazorusha kampeni zao kwa kadiri wanavyopenda.
Ahahahaaah!! Anajitahidi...<br />
<br />
Du! Mwita 25 unakazi ngumu! Utaiweza kweli?