sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Haina tatizo. 2015 tutampa urais yule mwalimu wako aliyekufundisha madrasa. Au yule DC Mfuga nguruwe!Jamii Forum hata muwe mara elfu kama mnavyo jitokeza kwa kuwanadi hao CHAMA CHA MADEM,hamtoweza kufika kokote,yuko wapi Padri Slaa,kama aibu ingekuwa inauwa,basi mngekufa,maana huyo Babu yenu naona kaugua ukichaa kila siku anapayuka,nani wa kumpa urais Dr wa kupiga Vinanda na kuimba kwaya,