Elections 2010 IGUNGA, CHADEMA yakwaa kisiki yatafuta pa kutokea

Jamii Forum hata muwe mara elfu kama mnavyo jitokeza kwa kuwanadi hao CHAMA CHA MADEM,hamtoweza kufika kokote,yuko wapi Padri Slaa,kama aibu ingekuwa inauwa,basi mngekufa,maana huyo Babu yenu naona kaugua ukichaa kila siku anapayuka,nani wa kumpa urais Dr wa kupiga Vinanda na kuimba kwaya,
Haina tatizo. 2015 tutampa urais yule mwalimu wako aliyekufundisha madrasa. Au yule DC Mfuga nguruwe!
 
Halafu tunashinda nao humu ndani tukilumbana kwa hoja saa nyingine hata matusi tunaambulia.
Umeona ee? Ila waliopo humu wengi ni wale vibaraka walotumwa na nape...wako kimasilah zaidi, kazi yao kubwa ni kupinga tuu! Hata visivyofaa kupinga..eti elfu 2 kwa siku ndo yawatoa povu masaa 24 jf! Ila tutafika tu!
 
Huu ni upuuzi mtupu. Umetuwekea mikutano ya kampeni urais za 2010 ndio unazianzishia thread kuwandanganya wenzio. Pole sana dada, maana haisaidii chochote!
Kama kwelì unauhakika na unacho"kinena", weka picha ya mkutano wowote wa cdm!
 
Katika hali ambayo haikutegemewa upendo wa siasa
umekiama chama cha dem na maendeleo katika kampeni zake
huko igunga baada ya CUF kuongeza nguvu na ccm kuja na plan
mpya ya Piga tatu kwa pamoja( huku pombe huku makamba na huku kafumu


images


images

ile helicopter ya ccm iliyopotea hivi imesha patikana, je ilitekwa na vijana wa cdm nini, funguka tukusikie.
 
Viongozi hawachaguliwi kwa wingi wa watu kwenye mikutano, bali kwa wingi wa kura!!!
 
Viongozi hawachaguliwi kwa wingi wa watu kwenye mikutano, bali kwa wingi wa kura!!!
Kwa mtindo huu ushindi kwa CCM lazima!
Tulianza kwa kishindo, na tunamaliza kwa kishindo
 
Ningewashauri Chadema wajitoe na kumfanyia kampeni mgombea wa CUf kwa vile umaarufu wake ni mkubwa jimboni hapa wasiwache kiti cha Igunga kurudi mikononi mwa Mafisadi si hivyo CCM itashinda kwa 38 % Igunga na Chadema na CUF watapata 56% ila kura zao zitakua ziko vipande vipande na hii ni neema ya CCM Zito na Ismail Jussa kubalianeni muoneshe mfano wa upinzani Tanzania style hii ikiendelea mageuzi yatakua yamekua spoiled na wapizani wenyewe na munawachereweshea watanzania mageuzi wanayoyataka kwa hamu sana huu ndio ushauri wangu.
 
Ningewashauri Chadema wajitoe na kumfanyia kampeni mgombea wa CUf kwa vile umaarufu wake ni mkubwa jimboni hapa wasiwache kiti cha Igunga kurudi mikononi mwa Mafisadi si hivyo CCM itashinda kwa 38 % Igunga na Chadema na CUF watapata 56% ila kura zao zitakua ziko vipande vipande na hii ni neema ya CCM Zito na Ismail Jussa kubalianeni muoneshe mfano wa upinzani Tanzania style hii ikiendelea mageuzi yatakua yamekua spoiled na wapizani wenyewe na munawachereweshea watanzania mageuzi wanayoyataka kwa hamu sana huu ndio ushauri wangu.

funga domo lako
 
mtu mwenye akili anaejua thamani ya maisha yake na vizazi vijavyo
anaejua rasilimali zetu zote zimeuzwa kwa suti, tumebakiwa na mashimo, anaejua miaka 50 bado tuko maskini
anaejiuliza kwa nn hatuna umeme wkt tuna mito upopo makaa ya mawe asingefungua domo lake kushabikia CCM
nadhani wengi wanaopigia debe ni form 4 waliopata div 0 au 4 na upeo wao wa kufikiri ni mdogo, wajiulize ya zambia na kenya
CCM imebaka demokrasia na inachezea maisha ya watanzania,jeikei anajua hili na hataki kuwajibisha mawaziri wake licha ya kashfa zao
kwa vile anajua hakushinda kihalali hana uchungu na tanzania, mm sio chadema na sina chama ila naunga mkono mageuzi.
 
kweli chama chenu cha mafisadi,dhuluma,Magamba ni kizuri sana,na kuna watu wana akili kama mchwa,na wanaongoza vizuri sana hii nchi,na hakuna mropakaji kwenye CCM,wala hatutaki kabisa kienguliwe,chama cha kijani,cha wacha mungu,wenye huruma,kweli ni kizuri sana,Endeleeni kwa bidii,tena muongeze mbinu na ujuzi,ila kumbuka siku zinahesabika,Time will tell.
Mafedhuli hawa na walafi wa ubwabwa nao watumbua macho tu.
 
Katika hali ambayo haikutegemewa upendo wa siasa
umekiama chama cha dem na maendeleo katika kampeni zake
huko igunga baada ya CUF kuongeza nguvu na ccm kuja na plan
mpya ya Piga tatu kwa pamoja( huku pombe huku makamba na huku kafumu


images


images

Sema Nchemba mambo vp? naona kazi imeanza Igunga....
 
Asikudanganye mtu..wengi huku ni wanachama wa CCM...hapa wanajikosha tu! Siku ya kupiga kuwa wote huwa wanakipigia kura chama chetu cha ukweli!
Inawezekana kuna kaukweli kiasi katika hoja yako. Maana kwenye mikutano na barabarani tuna watu kibao wanaotuunga mkono, lakini ikija kwenye kupiga kura hatupati. Lakini kuna mtu kanambia kwamba nyie CCM mna tabia ya kuiba kura. Hilo nalo unalisemeaje?
 
Ccm chama cha maku and vice versa is true.
Mafisadi
manduli
machakachuzi
makatuni
matumbili
mataira
mafala
 
Back
Top Bottom