zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
mbona DCI manumba watu wanamuombea kheri apone haraka??Mbona kuchukiwa hv jamani?
Hivi kuna mjeshi yeyote anayependwa na raia hapa duniani?
mbona DCI manumba watu wanamuombea kheri apone haraka??Mbona kuchukiwa hv jamani?
Hivi kuna mjeshi yeyote anayependwa na raia hapa duniani?
mkuu, ajali inapotokea inakuwa imesababishwa na ubovu wa barabara,gari, kutowekwa alama za barabarani za muda au za kudumu,uzembe wa mmoja wa madereva au wote au uzembe wa dereva.sasa ajali ya IGP sijajua imesababishwa na nini? kwangu mimi nimeweka huo ujumbe kama binadamu nikiamini kazi ya MUNGU imetendeka kuwaokoa viumbe wake, kutoka kwenye moja ya vyanzo vya ajali. maana sifurahishwi na kuombeana vifo kwa usiyempenda ndo maana nimemtaja MUNGU ambaye hutimiliza kazi yake pasi na shaka.Mkuu, kwanini unahusisha uendeshaji mbaya wa gari na Nguvu za Mungu?
Mkuu PakaJimmy huyu shetani anapendwa duniani Pote angalia picha yake.Mbona kuchukiwa hv jamani?
Hivi kuna mjeshi yeyote anayependwa na raia hapa duniani?
Hivi mwangosi aliuwawa na igp?.
na wengine waliokufa leo barabarani katika maeneo mbalimbali nchini Mungu ameshindwa kuwaokoa viumbe wake?kazi ya MUNGU imetendeka kuwaokoa viumbe wake
Du! Ingekuwa kweli ningesherehekea kuondoka kwa fisadi mwingine mzito. God help us to get rid of these vampiric creatures who suck our bloody. Mimi nachukia mafisadi kuliko hata shetani mwenyewe. Maana shetani hushawishi lakini halamishi wala kutesa kama hawa.
Wewe unaelekea wapi?
Nyinyi ndio wale msiojuwa kuwa mnatembea na umauti, kwa kuwa unaishi unafikiri ndio wewe hufi wanaokufa wengine tu?
Mkuu wa jeshi la polisi Igp Said Mwema amenusurika kifo baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Dodoma, kupata ajali eneo la Mkundi ndani ya Manispaa ya Morogoro jana majira ya saa 12 jioni, hata hivyo katika tukio hilo hakuna aliyeumia na walibadilisha gari na kuendelea na safari, kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia blog hii JUMA MTANDA
mkuu, kila mtu anayoimani yake, MUNGU wangu hashindwi kitu. kila kazi hufanya kwa dhumuni lake.na wengine waliokufa leo barabarani katika maeneo mbalimbali nchini Mungu ameshindwa kuwaokoa viumbe wake?
hashindwi kitu, kwa hiyo wanaokufa barabarani anaweza kuwaokoa lakini anawachunia, Mungu gani hana huruma, sasa u-Mungu wake ni nini?mkuu, kila mtu anayoimani yake, MUNGU wangu hashindwi kitu. kila kazi hufanya kwa dhumuni lake.
Du! Ingekuwa kweli ningesherehekea kuondoka kwa fisadi mwingine mzito. God help us to get rid of these vampiric creatures who suck our bloody. Mimi nachukia mafisadi kuliko hata shetani mwenyewe. Maana shetani hushawishi lakini halamishi wala kutesa kama hawa.
kila kazi ya MUNGU INADHUMUNI LAKE. BWANA AMETOA ,BWANA AMETWAA. JINA LA MUNGU LIHIMIDIWEhashindwi kitu, kwa hiyo wanaokufa barabarani anaweza kuwaokoa lakini anawachunia, Mungu gani hana huruma, sasa u-Mungu wake ni nini?