igp ni kiongozi wa polisi,ni mtu muhimu sana katika idara ya usalama, kila anapotoa hotuba lazima ingilishi sana,mweshimiwa wananchi wengi wanaokutegema hawajui ingilishi,hivi ni lazima kunchanganya ingilishi na swahili????????anghhhhhhh
Siyo yeye tu.msikilize hata waziri mkuu mh.(mb)Mizengo Peter Pinda.wao wanaona poa.yaani wanaona haina majasho kumbe ina majasho kwa harakati wazifanyazo bakita.kiongozi kuwa mtumwa wa lugha za watu haifai.mia rose...
watu wengine bila kuchanganya lugha huwa hawajisikii kama kweli ni wasomi. Hata hapa nchini kwetu ni watumwa wa lugha nyingine kwa mfano, mtu anapoenda kuomba kazi, kipimo cha kuwa anaweza kufanya kazi ni kuongea kingereza. kama hawezi kuongea kingereza basi awezi fanya kazi. kwa kweli serikali na mashirika binafsi naomba mliangalie sana hili kwa sisi ndugu zenu watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.