Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?
Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
Tarime?
Arusha?
Songea?
Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
Tarime?
Arusha?
Songea?
Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!