kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
umekunywa chai asubuhi wewe!!!
Hii nayo ni thread!
kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
Ritz welcome back. Vipi, ulipotea kwa muda humu, u mzima?
kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
Aroooo unasema kuwa VERY STUPID IDEOLOGY? umelidhalilisha Jeshi la Mwema na Intelejensia yake. Wewe unajua ni muda gani ummemchukuwa huyu Afande Mwema kuisomea hiyo Intelejensia? Usidharau kazi ya Afande Mwema, Intelejensia yake ndio inakaribisha al Shabab, Inaelekea wanahamu mno na Al shababhilo li rahis lisi hutubie na mbio za mwenge zisitishwe maana si al shabaab wanalipua maandamano na mikusanyiko?? very stupid ideology..
Kwani utaratibu wa hotuba za kila mwezi umerudi? Au mkuu anataka kutuweka sawa na kutuandaa kwa miaka 50 ya uhuru wa......(wetu)
kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
kutokana na taifa kuwa katika kitisho cha al shabab ni vema mwema azuie hotuba ya rais ya leo kwa taifa kwani kitisho hiki bado kinaendelea na bado polisi hawajatuambia kitisho hiki kimeisha
Hivi kati ya Al Shabab na Magamba nani tishio zaidi kwa waTz? Nani anaua zaidi waTz? Tanzania kuna Alshabab special kwa CDM tuu.
Nadhani Alshaabab = Magamba = Police. Maana mikutano na sherehe zote ruksa lakini Jukwaa la katiba na CDM ndo wanatishia.