IGP Mwema: Jaribu Uzalendo, Madaraka ni Ya Muda tu

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
IGP Mwema, wananchi hawana imani na jeshi unaloliongoza. Vituko vya jeshi la polisi ungekuwa mzalendo na sio mchumia tumbo, kusema kweli mzee wangu ungejiuzulu. Wananchi badala ya kulindwa wamekuwa wakionewa, kunyanyaswa na kuuwawa na jeshi la polisi ambalo limegeuka kuwa jeshi la majambazi waliopewa silaha kuwalinda wananchi. Hauna tofauti na fisi anayepewa kazi ya kulinda nyama

Shutuma dhidi ya ACP Ahmed Msangi kusema kweli usingeyanyamaziaa na kumtoa Suleiman KOVA kafara kwa kumpa mbuzi ndani ya gunia hasa baada ya ushahidi wa kutisha kutolewa kuonyesha ughaidi na ujambazi sugu wa mtuhumiwa ACP Msangi

Unafahamu fika kwamba polisi wako pamoja na TISS wamechemsha kwa kutuletea ushahidi wa kijinga, kipumbavu na kitoto kuhusiana na mkenya kuwa ndiye mtekaji wa dr. ulimboka. Mungu ameanza kuwaadhibu ndio maana mnayoyafanya ni kama watu waliochnganyikiwa. Tangu mwanzo tulijua kwamba mtu angebambikiziwa uchafu wa TISS na Polisi waliotumwa na Kikwete kumuua Ulimboka. Kwa heshima na taadhima pamoja na uzalendo, tafadhali fikiria nchi yake ya baadae. Jiuzulu. Hata kama unamlinda kikwete na serikali yake dhaifu, kujiuzulu sasa hivi kutakupa maisha maisha mazuri kuliko kusibiria kufukuzwa hapo baadae na wananchi waliowapeni madaraka.

Jeshi lako linashindwa hata
1. Kumhoji ACP Msangi kwa sababu ametajwa kama mtuhumiwa?
2. Yule aliyepigwa hospitalini akisema bado yuko hai?
3. Obedi wa Ikulu?
4. Mawasiliano ya simu ya Ulimboka na watekaji?
5. Gari lililotumika ndani ya hii tanzania isipatikane hadi wa leo?
6. Hata kuwahoji mashuhuda pale leaders club?
7. DNA testing nguo au vitu vngine vya ulimboka?

Alafu unatuletea ujinga wa mkenya, tena kutumia kanisa, sehemu takatifu ya Mungu? Shame on you. Nyie mnaojiita viongozi serikalini si nmna watoto? Msidhanie nyie na watoto wenu mtaishi kwa amani kwa mazingira mnayowatengenezea ya chuki. watoto wenu Wataishi kujuta maisha yao yote. Damu zinazomwagika bila hatia zitawaandama maisha yenu yote. Unyanganyi na hujuma mnaowafanyia wananchi wasio na hatia daima itawanyima amani. Majumbani mwenu amani itatoweka. Mtakufa kama kuku. Mtapata na magonjwa ya ajabu. Watoto wenu, watashinda wakitumia madawaya ya kulevya, wengine watakuwa makahaba, na majambazi kama mlivyo. Mungu aliyejuu mbinguni atawapa maisha marefu myashuhudie haya yote ambayo yatakuwa ni malipo ya ukatili wenu

Magari ya kifahari mliyonayo yatageuka kuwa silaha za kuwakata miguu. Majumba makubwa mliyokuwa nayo yatageuka kuwa mapango ya na ugomvi majonzi. kamwe hamtaweza kuiona amani wala kuisikia. hela mlizoiba hazitawanululia hata tabasamu. Mungu na asikie vilio vya watanzania. Nyumba ya Kikwete, Pinda, Mwema, Othman, Jambazi msangi na wengine wote wanaofanya uhalifu waishi wakitambua kuwa siku ya kusaga meno inakuja. Tunawaombea maisha marefu ili muone matunda aya uovu wenu wa kuwang'oa watu masikini wanaodai haki za msingi meno na kucha kiunyama
 
Nakubaliana na mleta mada maana kadri siku zinavyoenda ndivyo wananchi wanavyozidi kupoteza imani na jeshi la polisi na chuki inazidi kuongezeka dhidi ya polisi.Hao walioambiwa wamejazwa upofu hilo wala hawalioni na wamejisahau kabisa na kuzidi kufanya madudu.Ila iko siku!
 
anastaafu mwaka kesho, mkuu wake kamwambia alambe mkataba, kasema inatosha
 
mwema na kundi lako hizi chuki mnazozijenga kwa wananchi dhidi ya jeshi la polisi mtakujazijutia...hakuna kitu kibaya kama kujenga chuki miongoni mwa wananchi ili kulifurahisha kwa muda kundi fulani. Wakati na historia vitawahukumu
 
Hawa watu hawamuogopi mungu kabisa, wana damu za watu wengi mikononi mwao,
na mungu anazidi kuwaumbua, jana mchungaji gwajima kawaumbua kwa kuwakana, pili hata timing ya matukio ya uyo mtekaji wao, tukio la kutekwa na maneno ya kova vimetofautiana,
ina maana ata walopewa jukumu la kuwasafisa hasa watu wa tiss yawezekana iq zao ni ndogo sana
 
asante mtoa mada , naona umeamua kumwambia ukweli. kwani wajue wewe umetoa ujembe wawatanzania
 
Kama intelijensia ya kitanzania ndo iko hivi inayoshindwa hata kupanga operations zake hahaha basi Tanzania ipo uchi mbele ya mataifa mengine na hata wakitaka kutuvamia bhasi muda wowote uwezo huo wanao. Najua Mungu ameshaanza kuwaadhibu na bado itafikia kipindi hata mtaani hamtakua mkipita kwa aibu yenu na jinsi mnavyoendelea kujijengea maadui.
 
IGP Mwema, wananchi hawana imani na jeshi unaloliongoza. Vituko vya jeshi la polisi ungekuwa mzalendo na sio mchumia tumbo, kusema kweli mzee wangu ungejiuzulu. Wananchi badala ya kulindwa wamekuwa wakionewa, kunyanyaswa na kuuwawa na jeshi la polisi ambalo limegeuka kuwa jeshi la majambazi waliopewa silaha kuwalinda wananchi. Hauna tofauti na fisi anayepewa kazi ya kulinda nyama

Shutuma dhidi ya ACP Ahmed Msangi kusema kweli usingeyanyamaziaa na kumtoa Suleiman KOVA kafara kwa kumpa mbuzi ndani ya gunia hasa baada ya ushahidi wa kutisha kutolewa kuonyesha ughaidi na ujambazi sugu wa mtuhumiwa ACP Msangi

Unafahamu fika kwamba polisi wako pamoja na TISS wamechemsha kwa kutuletea ushahidi wa kijinga, kipumbavu na kitoto kuhusiana na mkenya kuwa ndiye mtekaji wa dr. ulimboka. Mungu ameanza kuwaadhibu ndio maana mnayoyafanya ni kama watu waliochnganyikiwa. Tangu mwanzo tulijua kwamba mtu angebambikiziwa uchafu wa TISS na Polisi waliotumwa na Kikwete kumuua Ulimboka. Kwa heshima na taadhima pamoja na uzalendo, tafadhali fikiria nchi yake ya baadae. Jiuzulu. Hata kama unamlinda kikwete na serikali yake dhaifu, kujiuzulu sasa hivi kutakupa maisha maisha mazuri kuliko kusibiria kufukuzwa hapo baadae na wananchi waliowapeni madaraka.

Jeshi lako linashindwa hata
1. Kumhoji ACP Msangi kwa sababu ametajwa kama mtuhumiwa?
2. Yule aliyepigwa hospitalini akisema bado yuko hai?
3. Obedi wa Ikulu?
4. Mawasiliano ya simu ya Ulimboka na watekaji?
5. Gari lililotumika ndani ya hii tanzania isipatikane hadi wa leo?
6. Hata kuwahoji mashuhuda pale leaders club?
7. DNA testing nguo au vitu vngine vya ulimboka?

Alafu unatuletea ujinga wa mkenya, tena kutumia kanisa, sehemu takatifu ya Mungu? Shame on you. Nyie mnaojiita viongozi serikalini si nmna watoto? Msidhanie nyie na watoto wenu mtaishi kwa amani kwa mazingira mnayowatengenezea ya chuki. watoto wenu Wataishi kujuta maisha yao yote. Damu zinazomwagika bila hatia zitawaandama maisha yenu yote. Unyanganyi na hujuma mnaowafanyia wananchi wasio na hatia daima itawanyima amani. Majumbani mwenu amani itatoweka. Mtakufa kama kuku. Mtapata na magonjwa ya ajabu. Watoto wenu, watashinda wakitumia madawaya ya kulevya, wengine watakuwa makahaba, na majambazi kama mlivyo. Mungu aliyejuu mbinguni atawapa maisha marefu myashuhudie haya yote ambayo yatakuwa ni malipo ya ukatili wenu

Magari ya kifahari mliyonayo yatageuka kuwa silaha za kuwakata miguu. Majumba makubwa mliyokuwa nayo yatageuka kuwa mapango ya na ugomvi majonzi. kamwe hamtaweza kuiona amani wala kuisikia. hela mlizoiba hazitawanululia hata tabasamu. Mungu na asikie vilio vya watanzania. Nyumba ya Kikwete, Pinda, Mwema, Othman, Jambazi msangi na wengine wote wanaofanya uhalifu waishi wakitambua kuwa siku ya kusaga meno inakuja. Tunawaombea maisha marefu ili muone matunda aya uovu wenu wa kuwang'oa watu masikini wanaodai haki za msingi meno na kucha kiunyama
@dudus
 
Back
Top Bottom