Kifimbo Cheza
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 248
- 112
makamanda wa polisi wawe wanachaguliwa na wananchi....
mkuu off point hiyo!! Kazi ya polisi ni taaluma co siasa!!!!
makamanda wa polisi wawe wanachaguliwa na wananchi....
sinauhakika na mtoa mada nikupe simu ya igp said mwema au ya dci manumba mimi mwenyewe nipo kwenye system kama nikweli na ushahidi unao mimi naweza kusaidia
mkuu off point hiyo!! Kazi ya polisi ni taaluma co siasa!!!!
sawa kabisaa, ni hadithi zileee za sinbad baharia!kiukweli pasipo na majina ya wahusika inakuwa ngumu kuitofautisha na hadithi za erick..
Nafikiri huku mitaani kuna viongozi kuanzia wajumbe,madiwani,wabunge nk je hizi dhuruma hawana habari nazo ,na pia mi nafikiri kuna haja Usalama wa Taifa ofisi zao ziwe wazi kwa wananchi,sasa kama jeshi la polisi liko mfukoni mwa matapeli ,wananchi wa kawaida waende wapi,tatizo hata mahakama nazo zimejaa matapeli.Pia kwa hili suala wabunge na mkuu wa mkoa waingilie kati kwani si Kova yupo chini ya mkuu wa mkoa au?Habari hii ni kweli kabisa. Wiki tatu nyuma walivamia kiwanja Mbezi beach maeneo ya Five Star na kuzungusha ukuta na kuleta walinzi. Nina habari mwenye kiwanja hakupata ushirikiano kabisa na polisi ya Wazo zilipo ofisi za OCD hivyo kwa msaada wa ofisi ya mwanasheria wake waliweza kupata amri ya kusimamisha ujenzi iliyotolewa na mahakama ya Ardhi na kesi itaanza karibuni. Katika uvamizi huo walitumia risasi za moto kumtisha the legal owner na majirani na hata baada ya ku report polisi hawakuchukua hatua yeyote. Habari ni kuwa tapeli mmoja papaa mfadhili wa bendi ndie kiongozi wa kundi lakini anawatumia wasaidizi wake kuongoza uhalifu huu kwa kuwa ameshaonywa karibuni na baadhi ya viongozi wa Polisi na hajatii alichoonywa. Naomba ifahamike kabisa hutapata msaada polisi hawa jamaa wakivamia kiwanja chako na hii ni kwa sababu ya wanalindwa na baadhi ya viongozi wa polisi. Nadhani huu ni uonevu uliokithiri na swala hili lingefuatiliwa na usalama wa Taifa kwani linakua kwa kasi. Nawakilisha wakuu
HAPO KWENYE RED.....sasa ushahidi si msearch hayo majina. Hebu nenda kwenye google usearch papa msofe au kama humfahamu kwa sura bofya hapa the eastafrica: Papaa msofe atuhumiwa kuvamia kiwanja mbezi beach!
pia papa msofe akamtapeli mama mjane na itv walimuhoji kamanda kenyela rpc wa kinondoni na huyo tapeli na kenyela akamtetea na kusema msofe sio tapeli ni mfanyabiashara. Baadae jamii forum na itv wakaripoti kwamba huyu papa msofe ambaye rpc amemtetea kwenye vyombo vya habari ni tapeli na kwamba wanaharakati wakiongozwa na mpiganaji mama ananelia nkya walilisimamia kidedea mpaka waziri mkuu akingilia kati na kuamuru swala hili lishughulikiwe mara moja. Cha ajabu kuona hivyo tunaambiwa polisi walimpa huyu tapeli siku saba kurudisha kiwanja na tapeli huyu hakuchukuliwa hatua yoyote. Nadhani ukisearch papa msofe au papaa msofe utapata skendo lukuki za huyu jamaa. Tunaambia polisi wanalipwa mshahara na huyu jamaa.
Mwingine ni mr mushi ambaye alikuwa ardhi. Naye ni hatari na anatetewa na maafisa wa ardhi na polisi.
Nasikia kweli ukienda polisi ukataja jina la mtu wanayemfahamu na kusema amevamia kiwanja chako ndio umewaletea mtaji, kwanza wanakwambia hawahusiki nenda kapigane nae mwenyewe au nenda mahakamani na baada ya hapo wanampigia simu huyo jamaa wanamwambia mkubwa naona umefanya kazi lete pesa yakulinda huku na jamaa fasta anawafikishia fungu lao.
huu ni ukweli sion majungu. Hakuna mtu tanzania anaweza kumdhulumu mtu ardhi bila kushirikiana na polisi - hakuna!
Habari hii ni kweli kabisa. Wiki tatu nyuma walivamia kiwanja Mbezi beach maeneo ya Five Star na kuzungusha ukuta na kuleta walinzi. Nina habari mwenye kiwanja hakupata ushirikiano kabisa na polisi ya Wazo zilipo ofisi za OCD hivyo kwa msaada wa ofisi ya mwanasheria wake waliweza kupata amri ya kusimamisha ujenzi iliyotolewa na mahakama ya Ardhi na kesi itaanza karibuni. Katika uvamizi huo walitumia risasi za moto kumtisha the legal owner na majirani na hata baada ya ku report polisi hawakuchukua hatua yeyote. Habari ni kuwa tapeli mmoja papaa mfadhili wa bendi ndie kiongozi wa kundi lakini anawatumia wasaidizi wake kuongoza uhalifu huu kwa kuwa ameshaonywa karibuni na baadhi ya viongozi wa Polisi na hajatii alichoonywa. Naomba ifahamike kabisa hutapata msaada polisi hawa jamaa wakivamia kiwanja chako na hii ni kwa sababu ya wanalindwa na baadhi ya viongozi wa polisi. Nadhani huu ni uonevu uliokithiri na swala hili lingefuatiliwa na usalama wa Taifa kwani linakua kwa kasi. Nawakilisha wakuu
naomba unisamehe, let me call you mpuuzi, yani ni bora kupuuzwa, waliofanya hivyo either hawapo tena au kama wapo, basi hawatafanya tena hiyo jitihada
ukiona mtu kaleta hapa kwa namna hiyo ujue hizo jitihada nyingine ameshafanya
HAPO KWENYE RED.....
si kweli, nakataaa kabisa. Tuwe wakweli, polisi anahusika vipi na mchakato wa ugawaji ardhi kisheria? Tusiingize chuki binafsi dhidi ya polisi kwa mambo yasiyowahusu.
sinauhakika na mtoa mada nikupe simu ya igp said mwema au ya dci manumba mimi mwenyewe nipo kwenye system kama nikweli na ushahidi unao mimi naweza kusaidia
polisi wapewe kipaumbele bajeti ijayo, hawa madaktari wanaweza kufikiriwa bajeti ya 2013/14, napendekeza mishahara ya polisi kima cha chini kiwe 700,000/= labda itaondoa tatizo kama si kupunguza maana matendo yao kwakweli mh.. inafika kipindi mtu kabla ya kwenda kituoni unapitia kwanza bank au kwenda kukopa kwa jamaa
Elimu nzuri kabisa hii Mkuu. Nadhani hao walalamishi wamekuelewa.Mkuu MTN, ni sahihi unachosema. Kesi ninayoiona hapo ni KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA/BUNDUKI kama kweli wamefanya hivyo. Lakini subject matter ya post hii ni UNYANG'ANYI WA VIWANJA.
Jeshi la polisi limeanzishwa kwa mjibu wa sheria, na linafanya kazi kwa matakwa ya sheria. Afisa wa polisi anapopelekewa suala hilo la kunyang'anywa kiwanja, hana kifungu chochote cha sheria kufungua kesi na kuifanyia kazi. hana mamlaka kisheria kulifanyia kazi.
Kesi za viwanja zinaingia kwenye kesi za madai ambazo haziwahusu POLICE, isipokuwa kuna mamlaka zimeanzishwa kisheria kudili na kesi hizo. Hivyo mleta mada angeeleweka kama alishafika ofisi za aridhi kulalamika, au mahakamani ili atafutwe mmliki wa aridhi inayozungumziwa.
Ninachofahamu kuhusu POLICE, IGP Mwema alikuja na dhana ya POLISI JAMII na ULINZI SHIRIKISHI. Dhana hii, inajikita katika kutatua migogoro inayochangia kuwepo kwa uhalifu. Mfano katika madai ya mleta post, hakuna uhalifu/JINAI, ila lisipo fanyiwa kazi JINAI inaweza kutokea kwa kutukana, kupigana, kuua, na mengine yanayofanana na hayo.
Dhana ya POLISI JAMII, ni wachache wanaofahamu inataka nini. Kwani ni imani yangu kuwa, OCD/OC CID na viongozi wengine, kama sehemu ya kuzuia jinai kutokea, wangeitumia dhana hiyo kuonana na mamlaka husika na kuangalia namna ya kutatua tatizo lilopo. Lakini ni kwa mtu anayejua kazi yake vizuri ni nini kwa jamii.
Kama hajui, ataendelea kusubiri jinai ifanyike ndo aonekane yuko kazini. Tabu kweilkweli.
Katika matoleo kadhaa ya POLISI JAMII niliyoyapitia, IGP anawataka askari wote na maafisa wote kuwa PRO ACTIVE na sio RE-ACTIVE. Wachache wamemwelewa na wanafanya hivyo, wengine wanataka uasikari wa mahita wa maguvu kupita kiasi
ndoleha Unaweza kukutana na mimi kesho njoo makumbusho unipe data naweza kufanyia kazi kama kweli unayoyasema na ushahidi unao sitaki mambo ya udaku au umepata viroba
Kama unafahamu haki zako huwezi lalamika, namba ya simu ya huyo IGP ipo mpigie mweleze na ushahidi uwe nao
Utakaporudi na hiyo part 2 uje na majina ya hao wahalifu pamoja na hao makamanda
Dada Jane nakupa pole kama unataka kufanyia kazi huu mtandao umeshachelewa kwani hawa wanakula na maboss wako hasa wasaidizi wa mwema kwani ndio wanajua usalama wao jaribu kuongea na wale askari wanaotembea na yale magari yenu watakwambia kwani huwa wanajitahidi kupambana ila wanakutana na vikwazo kutoka kwa maboss wenu. Na watu hawataamini ila kamanda mstaafu Tibaigana anawajua vizuri sana hawa wahalifu
Sasa ushahidi si msearch hayo majina. Hebu nenda kwenye google usearch papa msofe au kama humfahamu kwa sura bofya hapa the eastafrica: PAPAA MSOFE ATUHUMIWA KUVAMIA KIWANJA MBEZI BEACH!
Pia Papa Msofe akamtapeli Mama Mjane na ITV walimuhoji Kamanda Kenyela RPC wa Kinondoni na huyo Tapeli na Kenyela akamtetea na kusema msofe sio tapeli ni mfanyabiashara. Baadae jamii forum na ITV wakaripoti kwamba huyu Papa Msofe ambaye RPC amemtetea kwenye vyombo vya habari ni tapeli na kwamba Wanaharakati wakiongozwa na mpiganaji Mama Ananelia Nkya walilisimamia kidedea mpaka Waziri Mkuu akingilia kati na kuamuru swala hili lishughulikiwe mara moja. Cha ajabu kuona hivyo tunaambiwa Polisi walimpa huyu tapeli siku saba kurudisha kiwanja na tapeli huyu hakuchukuliwa hatua yoyote. Nadhani ukisearch papa msofe au papaa msofe utapata skendo lukuki za huyu jamaa. Tunaambia polisi wanalipwa mshahara na huyu jamaa.
Mwingine ni Mr Mushi ambaye alikuwa ardhi. Naye ni hatari na anatetewa na maafisa wa Ardhi na Polisi.
Nasikia kweli ukienda Polisi ukataja jina la mtu wanayemfahamu na kusema amevamia kiwanja chako ndio umewaletea mtaji, kwanza wanakwambia hawahusiki nenda kapigane nae mwenyewe au nenda mahakamani na baada ya hapo wanampigia simu huyo jamaa wanamwambia Mkubwa naona umefanya kazi lete pesa yakulinda huku na jamaa fasta anawafikishia fungu lao.
HUU NI UKWELI SION MAJUNGU. hakuna mtu Tanzania anaweza kumdhulumu mtu Ardhi bila kushirikiana na Polisi - HAKUNA!