Suala la ratiba ya mitihani ni la utawala wa Chuo, FFU wamefuata nini hapo
Suala la ratiba ya mitihani ni la utawala wa Chuo, FFU wamefuata nini hapo
Suala la ratiba ya mitihani ni la utawala wa Chuo, FFU wamefuata nini hapo
Naona hujapitia chuo.Kugoma kwa sababu ya ratiba ni sababu finyu sana.Kwani mwanafunzi hajui kuwa kuna mtihani mwisho wa siku? Sioni ubaya kufanya mitihani 2-3 kwa siku.KUGOMA KWA SABABU HII NI UTOVU WA NIDHAMU.
Ninavyofahamu mimi ni kuwa kazi ya FFU ni kutuliza fujo.Uwepo wao ni mahali penye fujo.Kazi ya polisi wa kawaida ni kulinda usalama wa raia na mali zao.Case ya IFM haikuhitaji FFU kukaa pale.Haku uvunjifu wa amani hata kidogo.Kiutaratibu ni polisi wanatakiwa kulinda mali za chuo na usalama wa watu wote.Kupeleka FFU pale ni sawa na ku-provoke wanachuo kuanzisha vurugu.
Naamini huu ni utaratibu wa kisiasa na siyo wa kiusalama.
kwa kugoma kufanya hizo test, wanfunzi wamefunga milango ya madarasa yote kwa kugandisha milango na super glue. hii ni kuzuia wote wasiingie madarasani. sasa hii ndio nini jameni!!!
macinkus