IFM sio Chuo???

Nyie pondeni tu ila Mtaani ndio kipimo cha akili,wacha mie nikasome IFM na ukilaza wangu,what i value is to develop my career.
 
Siku hizi nikitaka tu kujikumbusha enzi za cheichei natembelea jukwaa la elimu JF kwenye thread kama hii.
Kuna haja ya admin kuongeza jukwaa la JF-Cheichei kupunguza utoto kwenye majukwaa ya maana kama la elimu.
 
Hapo kwenye red kuna tatizo sana... Hii inatoa " reflection" halisi ya jinsi ulivyo tatizo kuzidi hata hiyo IFM uliyoifanya mada na kuileta jamvini.. Edit post yako vema halafu urudi jamvini .....

kaka Natumia Android...Mara Nyingi nikitype M inakuha N ...
thats Only typing Error...
ila IFM bado Nahitaji Kujua Ukweli wake!!!!
 
jaman wale wanaokwenda sua,udsm,udom,mzumbe na kwengineko jipangeni msije mkapata supp afu ajira zikawa ngum msidharau chuo jitahidin mtoke mlipo inshaalah
 
jamaa kasema ukweli !! The best Tanzania univsty ni
1. UDSM
2. SUA
3. MZUMBE
4. UDOM
Wengne mtajipangia hzo namba zinazofuata huko nyuma !! Turudi kwenye mada yetu kwa kweli ifm ni moja wapo wa vyuo vya kata tena kwa vilazaaa kabisa nyie wanafunzi wa ifm mnajua kuvaa nguo chini ya makalio so mwisho wa siku ni bora hcho chuo kingekuwa cha fashion na usharobaro wa kipumbavu ila tukirudi katika suala zima la kitabu a.k.a Elimu pale ni empty set !!

Pigeni shule vijana kwani siasa imeingia mpaka vyuoni maana vyuo vimeanzishwa kisiasa hata hivyo unavyosema kuna baadhi ya course zimechakachuliwa hasa hizi ambazo zimeongezwaongezwa. Kuna baadhi ya fani alietoka UDSM yupo nondo na kuna baadhi ya fani unakuta MZUMBE kidedea na kuna baadhi ya fani unakuta alietoka CDTI Tengeru ni kidedea na kuna zingine unakuta wa alitoka USHIRIKA kidedea. Kikubwa ni kujitambua na kupiga buku kwani elimu ya juu ni mwanafunzi mwenyewe kujitambua na ku-network na wadau wengine wa elimu na ndio weledi wenyewe. Kwanza uchunguzi unaonyesha wanachuo vyuo vingi wanafundishwa na Tutorial assistants ambao wengine wamemaliza soon wakati maprof wanakula ela za kazi za nje kwa kuoishana kwenye ndege na mabasi kwenda Iringa na sehemu zingine kufundisha vyuo vingine hivyo kuna wengine japokuwa wana degree lakini ukifanya assessment inakuwa kama diploma flani japokuwa hata huku chini nako kumechakachuliwa. KWAHIYO MKIPATA FURSA PIGENI SHULE MAMBO MENGINE TUTAWAELEKEZA MKIFIKA URAIANI MAANA ELIMU YENU YA SASA NDIO HIVYO TENA IMECHAKACHULIWA HIVYO ILI UWE FIT INABIDI UONDOE KIBURI CHA KISOMI CHA MIE NIPO VIZURI ETC MAANA KUNA VYUO HAMJAVITAJA HAPO KAMA ARDHI UNIVERSITY INATOA PRODUCT NZURI KIASI KWAMBA DOGO AKIPIGA KAZI MWAKA TU ANAKUA NONDO.
 
IFM sio chuo kikuu kwa taarifa yako....hiyo ni INSTITUTE au taasisi tu..inatoa NON DEGREE PROGRAMMES...ukisoma pale elimu yako haitambuliki kwa kiwango cha degree ULIMWENGUNI,,kama unabisha kisome kitabu cha T.C.U kurasa za mwanzo mwanzo kabla ujaingia kwenye mabainisho ya couz za vyuo...USIKONDE PIGA MSULI TU,,,,ata mwana FA alisoma hapo...BEST WISHES,,,KARIBU UDSM

Acha kupotosha watu. IFM ni chuo kama ilivyo udsm na vinginevyo.
Ukisema hivyo MIT au Georgia Tech utasema nazo sio vyuo?
 
kwahyo wote tukajazane udsm,sua,mzumbe, n.k tusiende kwenye institutes. fo.ols kwel hawa.
Kitaa ndo jibu la aliyeelimika.
 
jinsi utakavyotumia elimu yako mtaani ndo mpango mzima, fikra za kungoja wenzio wafungue kampuni nawewe ukaajiriwe ndo inaleta hayo ya kuchagua vyuo, maana mwenye kampuni labda anatamani kufanya kazi na watu wa chuo fulani. unachotakiwa tumia elimu yako vizuri tu, utaona mafanikio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom