IFM sio Chuo???

Aug 11, 2012
76
3
jamani najina Ya Second Round Robo tatu nzima wamemwagwa IFM na Hawakuichagua wengi wao....
Hii inaashiria IFM ina Mapungufu kidoogo.
na wengi waliotupiwa wana tokeo la Kuyumba yumba kana Langu..ila Ni Ntazamo Tu..anaejua Ukweli afunguke!!!
 
Kuna suala la tuition fee pia na priority ya kupata mkopo!
 
jamani najina Ya Second Round Robo tatu nzima wamemwagwa IFM na Hawakuichagua wengi wao....
Hii inaashiria IFM ina Mapungufu kidoogo.
na wengi waliotupiwa wana tokeo la Kuyumba yumba kana Langu..ila Ni Ntazamo Tu..anaejua Ukweli afunguke!!!
yaah wa2 hawakichagua that y wa2nyomi wametupwa huko
 

Angalia wafanyakazi wenye ufanisi zaidi wawapo kazini wamesoma chuo gani utaambiwa ifm. Mnyonge mnyongeni tu


Ni kweli kabisa,lkn waliochaguliwa hapo wengi hawakuomba....
 
Acha uongo wewe huna data!!!ifm wengi vilaza hata wenyewe mnajijua kama ni vilaza..! Kajipange tenah halafu uje na data...
 
Acha uongo wewe huna data!!!ifm wengi vilaza hata wenyewe mnajijua kama ni vilaza..! Kajipange tenah halafu uje na data...
hebu tupe data ulizonazo kuhusu ifm ndugu yangu kuwa ni vilaza, maana paul kitereja maana tunachokitafuta ni ufanisi kazini na tunawaona vijana wa udsm sua ,mzumbe etc walivyotofauto na hawa watu,sasa basi ninatambua fika wewe umetokea kijijini live ukaja ukasoma either udsm ndio wana dhima kama zako kuwa IFM,IAA,TIA ,DIT KUWA SABABU NI INSTITUTE basi ni vilaza na hii dhana imewaangusha sana nyinyi udsm sijui sua maana mmekuja mtaani MNACHAGUA KAZI WAJINGA WATUPU .Hata hapa ulipopostupumbavu wako waangalie ,founders wana basic za wapi,hivi vyuoIFM,IAA,TIA ,DIT vinatoa much practical than theory mhasibu anayetoka kwenye hivyi vyuo wewe wa udsm humkamati ukitaka kuniamini nenda pale TRA na kwenye many financial institution ukachunguze wanawataka/wanapendelea kutoka wapi?
 
Last edited by a moderator:
INSTITUTE OF FAILURES AND MANAGEMENT.(IFM):loco:

True my NiggA.!?
Kuna jamaa yangu m1 nilisoma naye miaka hiyo na yuko hapo IFM matokeo ya semester amepata supp ya account sasa juzi kaniomba nimkopeshe elf 50 wanataka wakamhonge lecture ili awatoe kwenye hiyo supp akadai bila hivyo hatoki..!?
Nilimshangaa sana
 
hebu tupe data ulizonazo kuhusu ifm ndugu yangu kuwa ni vilaza, maana paul kitereja maana tunachokitafuta ni ufanisi kazini na tunawaona vijana wa udsm sua ,mzumbe etc walivyotofauto na hawa watu,sasa basi ninatambua fika wewe umetokea kijijini live ukaja ukasoma either udsm ndio wana dhima kama zako kuwa IFM,IAA,TIA ,DIT KUWA SABABU NI INSTITUTE basi ni vilaza na hii dhana imewaangusha sana nyinyi udsm sijui sua maana mmekuja mtaani MNACHAGUA KAZI WAJINGA WATUPU .Hata hapa ulipopostupumbavu wako waangalie ,founders wana basic za wapi,hivi vyuoIFM,IAA,TIA ,DIT vinatoa much practical than theory mhasibu anayetoka kwenye hivyi vyuo wewe wa udsm humkamati ukitaka kuniamini nenda pale TRA na kwenye many financial institution ukachunguze wanawataka/wanapendelea kutoka wapi?

jamaa kasema ukweli !! The best Tanzania univsty ni
1. UDSM
2. SUA
3. MZUMBE
4. UDOM
Wengne mtajipangia hzo namba zinazofuata huko nyuma !! Turudi kwenye mada yetu kwa kweli ifm ni moja wapo wa vyuo vya kata tena kwa vilazaaa kabisa nyie wanafunzi wa ifm mnajua kuvaa nguo chini ya makalio so mwisho wa siku ni bora hcho chuo kingekuwa cha fashion na usharobaro wa kipumbavu ila tukirudi katika suala zima la kitabu a.k.a Elimu pale ni empty set !!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom