IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Hiki ni kitabu Cha Chama Cha Mapinduzi Cha Mwaka 1967 ambacho kinaeleza Misingi ya Azimio La arusha na Siasa ya TANU juu ya Ujamaa na Kujitegemea. Unaweza kujionea pale ambao Tumeenda Mrama na Wapi twahitaji kubadili njia tunayoenda nayo sasa.