Ifahamu Amazon Kindle, Muhimu sana!

DesderyT

New Member
Mar 6, 2012
4
2
Tangu Kuanzishwa mwaka 2007, Kindle imajizolea umaarufu mkubwa kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya majarida, vitabu, blogs na habari mbalimbali kutoka vyombo vya habari vianavyotoa habari katika mitandao.
Kwa ufupi KINDLE ni kifaa, tofauti kidogo na iphones au smartphones nyingi kutokana na uwezo wake wa kutoa muonekano halisi wa karatasi kielectroniki na wakati huo huo kutumia umeme kidogo kuliko smartphones.

Kuanza kwa matumizi ya kifaa hiki kumeleta mabadiliko makubwa kihistoria, kwa mfano katika miezi mitatu mfululuzo mwaka 2010, mauzo ya vitabu halisi katika mtandao yalipitwa kwa kiasi kikubwa na mauzo ya ebooks na pia uwezo wake wa kuhifadhi au kukaa na chaji hadi kufikia mwezi mmoja(kindle ya kizazi cha nne)

Kwa sasa Kindle iko katika kizazi cha nne, (fourth generation).........
Soma zaidi hapa katika 2zone
 
Kindle failed to live up to the expectations it created due to marketing schemes, especially from Apple and its IPad, which amounted to an oligopoly structure with Apple upping book prices and undercutting the original default Kindle price of $ 9.99.

Since then I have seen many a Kindle book going at the same price as the paperback, which to me is neither attractive nor sensible. Since I know the elimination of printing and transportation should factor in the ebook's price. Having been an early adopter who I lost his Kindle (the original) with all the books/ documents in it, the pertinent lesson is a physical book is a physical book and you can't lose your entire library in one morning.

I bought the Kindle 2 immediately after that, mainly for the freely available classics. And the various tablet devices, which support Kindle software, are keeping me occupied.

The Android Tablet has pretty much nullified the validity of the idea of a dedicated reader, and even the Kindle Fire which attempts to multitask (video, audio etc) is not on a par with most of the middle of the road and upper rungs of Android Tablets.

Why carry a dedicated reader when you can get the Kindle software and install on a tablet? The only valid reason would be the E Ink technology. Having used both the Kindle and various tablets, the importance of E Ink, at least to myself, is overblown and could very easily prove to be a marketing ruse.
 
Nkipata ela ntajaribu Kindle Fire, ila kwa most facilities, besides kununua vitabu, ukiwa nje ya North America is simply useless. Niko na gen 2 with 3g, it almost suits me alright, ingawaje naona OS yake is somehow slow, pia ina 1.5Gb only which is a joke. Lakini i can still survive for my basic reading needs na kununua vitabu nnavotaka right on time badala ya kuzungukia manually kwene bookshops.
 
Nkipata ela ntajaribu Kindle Fire, ila kwa most facilities, besides kununua vitabu, ukiwa nje ya North America is simply useless. Niko na gen 2 with 3g, it almost suits me alright, ingawaje naona OS yake is somehow slow, pia ina 1.5Gb only which is a joke. Lakini i can still survive for my basic reading needs na kununua vitabu nnavotaka right on time badala ya kuzungukia manually kwene bookshops.

Kindle Fire is worth your money. I have one and it's worth every dollar I paid for it. Nilitaka kununua Nook tablet lakini kwa cost nadhani ilikuwa overrated ukilinganisha na Kindle Fire.
 
Kindle Fire is worth your money. I have one and it's worth every dollar I paid for it. Nilitaka kununua Nook tablet lakini kwa cost nadhani ilikuwa overrated ukilinganisha na Kindle Fire.
Ngojea nizichange, kwanza maana TRA nao wana kifronti sana.
 
Mimi natumia Kindle Keyboard yenye 3g/wifi na ninaiona ni nzuri tu. Licha ya kununua vitabu, ninaweza vilevile kupata vitabu vingi vya bure. Nina vitabu vingi sana nimevihifadhi katika indle yangu na vingine kwenye maktaba za Amazon.
 
Mimi natumia Kindle Keyboard yenye 3g/wifi na ninaiona ni nzuri tu. Licha ya kununua vitabu, ninaweza vilevile kupata vitabu vingi vya bure. Nina vitabu vingi sana nimevihifadhi katika indle yangu na vingine kwenye maktaba za Amazon.

Mzee swayo hebu nielekeze mana mm sijui kitu hapo...
 
Mzee swayo hebu nielekeze mana mm sijui kitu hapo...
Kindle ni kifaa cha ki electronic ambacho unaweza kusoma vitabu ambavyo una download humo. Kindle ina nafasi ya kuweka vitabu vingi e books. Kwa mfano mimi napenda kusoma vitabu vya James hadley Chase. Nimedownload vitabu vyote na nimevihifadhi humo. Kwa mfano nabeba vitabu zaidi ya 50 katika kifaa hicho. Kwa maelezo zaidi soma hapa:
Kindle Keyboard 3G with Wi-Fi, 6" E Ink Display, 3G works globally
 
Tangu Kuanzishwa mwaka 2007, Kindle imajizolea umaarufu mkubwa kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya majarida, vitabu, blogs na habari mbalimbali kutoka vyombo vya habari vianavyotoa habari katika mitandao.
Kwa ufupi KINDLE ni kifaa, tofauti kidogo na iphones au smartphones nyingi kutokana na uwezo wake wa kutoa muonekano halisi wa karatasi kielectroniki na wakati huo huo kutumia umeme kidogo kuliko smartphones.

Kuanza kwa matumizi ya kifaa hiki kumeleta mabadiliko makubwa kihistoria, kwa mfano katika miezi mitatu mfululuzo mwaka 2010, mauzo ya vitabu halisi katika mtandao yalipitwa kwa kiasi kikubwa na mauzo ya ebooks na pia uwezo wake wa kuhifadhi au kukaa na chaji hadi kufikia mwezi mmoja(kindle ya kizazi cha nne)

Kwa sasa Kindle iko katika kizazi cha nne, (fourth generation).........
Soma zaidi hapa katika 2zone

MImi ni mtumiaji mzuri wa kindle na nimepata bahati ya kuwa na kila toleo la kindle na hivi sasa ninaitumia toleo jipya kabisa la inaitwa "kindle fire "lakini kwa maoni yangu iPad bado ipo juu kwani Nina matoro yote pia ya iPad 1 hadi 3 "kindle fire" ililenga ku compete na iPad 2 lakini haijafua dafu.





l
 
MImi ni mtumiaji mzuri wa kindle na nimepata bahati ya kuwa na kila toleo la kindle na hivi sasa ninaitumia toleo jipya kabisa la inaitwa "kindle fire "lakini kwa maoni yangu iPad bado ipo juu kwani Nina matoro yote pia ya iPad 1 hadi 3 "kindle fire" ililenga ku compete na iPad 2 lakini haijafua dafu.





l

Hivi ni Ipad gani unaeza pata kwa dola 200? Kindle ziko sokoni kabla hata Ipad hazijazaliwa.
 
MImi ni mtumiaji mzuri wa kindle na nimepata bahati ya kuwa na kila toleo la kindle na hivi sasa ninaitumia toleo jipya kabisa la inaitwa "kindle fire "lakini kwa maoni yangu iPad bado ipo juu kwani Nina matoro yote pia ya iPad 1 hadi 3 "kindle fire" ililenga ku compete na iPad 2 lakini haijafua dafu.

l
Kindle Fire inatumika ukiwa USA na haiai kama unaishi nje ya hapo. Hii ni kwa sababu kuwa unachokiona kwenye Kundle Fire kinatokana katika mitandao ya hapo hapo.
 
MImi ni mtumiaji mzuri wa kindle na nimepata bahati ya kuwa na kila toleo la kindle na hivi sasa ninaitumia toleo jipya kabisa la inaitwa "kindle fire "lakini kwa maoni yangu iPad bado ipo juu kwani Nina matoro yote pia ya iPad 1 hadi 3 "kindle fire" ililenga ku compete na iPad 2 lakini haijafua dafu.l

Pure end user . otherwise labda wewe ni mfanyakazi wa appple
 
Well,
I havent been around as it has been wizzy wizzy to log in my account, thanks to admins,
Okay Kiranga, its so right, and the monopoly dominance power that Amazon have been seeking has (somehow) amounted to prices charged once you are selling something on the site and what they actually give you (econ cost) Ila, i see some prospects of the device but only if it wont be specialized to reading ebooks only.
The specialization gives it a distinguished power (energy serving) which once updates are made to standard it with Android Tablets (which consume lots of power) we wont see anything remaining as a unique feature than its patented display, its going down, but say 15 years. owners of technology have made fortunes though
 
It is good to get the information from the users of the gadgets. I am delighted to read your review. Asante sana.
 
Back
Top Bottom