vusile
Senior Member
- May 10, 2011
- 137
- 14
Laugh a little: Mchaga alidondoka kwenye kisima cha maji, akapiga kelele akitapatapa. Mkewe akaja na kamba mpya akamshushia. Mume akauliza, umenunua shilingi ngapi? Mke akajibu, buku pale kwa Swai. Mume akamwambia, irudishe haraka, nenda kwa Masawe anauza jero tu. Fanya haraka aisee, nitazama.