leo bungeni kwenye maswali ya papo kwa papo, mh tundu lisu alimuuliza waziri mkuu kuwa aliahidi kuwa watashughilikia matatizo la madaktari na mgomo hautotokea tena. Sasa kwa nini umetokea ameshindwa kazi kwanini ajiuzulu?. Waziri mkuu akasema amejitahidi sana kwa uwezo wake wote lakini bado wanagoma. Hapo ndipo lissu akauliza swali la nyongeza "if you have done your very best and you have failed why don't you resign?" Hapo spika akamuokoa asijibu. Wanajamvi mnasemaje hapo?