If our President has more than one wife: The question of human rights

Ukweli wa mambo asili ya Bantustas ni wake wengi, damu moto. Wazungu wanaweza mke mmoja wao ni damu baridi. Wake wengi ndivyo walivyoishi mababu zetu mpaka ujio wa wazungu.

Mimi ni Msukuma, pamoja na Ukristo wetu, si babu zangu wala baba zangu waliodumu na mke mmoja. Sisi watoto ndio tuna jaribu na sijui mbele ya safari.

Kwa Wasukuma the fact is we are very active kwenye somo hili ndio maana tunasifika kwa kupenda tatizo mmoja peke yake anakuwa hatoshi!.

Mababu zetu walikuwa na nguvu za ajabu, wao waliweza mara 3 kwa siku, wiki zote 54 za mwaka!. mke mkubwa ndie alikuwa anatafuta wasaidizi vinginevyo hakuna usalama. Kiasili mwanamke wa Kisukuma original, hatakiwi kuwa na wivu.

Hayo ni mambo ya Traditional Sukuma man, swali ni jee the modern Sukuma man anayo really need of an extra woman ama tunajiendekeza tuu!.
Jee ni afadhali ya Mwislamu anayekubali uke wenza kuliko mamia kwa maelfu ya sisi wakristo wa mke mmoja na vimada kibao ama nyumba ndogo?.

Tusishangae ya uke wenza mimi niko huku India, kuna jamii za wame wenza!.

Hiyo siyo mila, ila ni sex addiction ambao ni ugonjwa!
 
Prof. Moshi, what if the women don't have a problem with it? What if they think it doesn't denigrate them? So are saying that if me, Nyani Ngabu the stud, the genetic jackhammer, have all these women (say Kelly01 and Kisura) swooning over me and want me to wife them, you would still have a problem with it even though they don't? Come on man, what human rights are you talking about? What are human rights according to your book?

Ngabu, why shudn't woman marry many husbands? You know is also same "saying gays is not a problem with me as long as they do not touch my ass"!
 
So long as these are consenting adults having made their decision with informed consent, I have no problem at all. If a man wants to marry hundreds wives let him do so, so long as there are wives wanting to be treated as such.

My only problem is the hiding of the other wife. Surely, we need to and should know both wives of our president so that we know the people who influence our president's decisions behind the scenes. To me, this is an issue deserving a close look in a way of discussion.
 
Even you! Believe, polygamy is an old way of living, it is primitive and please mention only one nation outside Africa or those poor middle eastern countries; no country in the world embraces polygamy, we must change!

Social change nzuri is evolutionary .. na sii dictation ya West to Africa.

Kwa hiyo unashauri wenye wake zao wawili au watatu kwa sasa wawaache wake zao? Kwa nini? Watoto walelewe na nani? na hao wake wamekosa nini?

Tuwe makini na mambo ya kusoma vitabuni na huu ustarabu wa West!

In short -western civiliazation can not tech us 'how' we to love to our women! Wenyewe naona wameshindwa kwa sasa!

Je lipi zuri? Homosexuality or poligamy?
 
Ngabu, why shudn't woman marry many husbands? You know is also same "saying gays is not a problem with me as long as they do not touch my ass"!

Hey, if women want to get down like that (marry multiple men) then more power to them. What's good for the goose is good for the gander.
 
Wandugu, naomba nijibu mapigo kama ifuatavyo:

Yako matatizo ya aina mbili. Mosi, kama asemavyo Zero, kuwa na mke mmoja hadharani na mwingine kifichoni ni unafiki kwa raia na ukiukwaji wa heshima za yule anayeonewa aibu.

Tatizo la pili ni la "tabia mbaya" kukubalika. Kama ni kweli kwamba katika familia Baba na Mama wana hadhi sawa basi ni kukosa haki kwa Baba mmoja kuwa na wake wengi. Hili ni tatizo la siku nyingi kiasi kwamba sasa wengi wanadhani sio tatizo.

Ni kinyume cha "maumbile" kwa baba mmoja kuwa na wake wawili au zaidi. Porojo za kusema Wabantu wana nguvu na hivyo wanahitaji wake wengi ni male chauvinism ya kawaida tu. Muumbaji "aliwaumba" mtu na mke, na sio mtu na wake.

Mkandara anasema kazaliwa kwenye familia ya wake wengi na kwa hivyo kuwa na wake wengi kuheshimike. Bad logic. Tuliozaliwa kwenye familia masikini inabidi sasa tukumbatie umaskini! Si vema kuheshimu makosa.

Nyani Ngabu anasema walio kwenye ndoa ya wake wengi wanapatana na kwa hivyo wakina mama hao hawanyimwi haki zao za kibinadamu. Wivu lazima utakwepo. Hata hivyo, kuna tatizo la msingi hapa. As Malcom X said "The House Negro loves his master....." Sasa hakunyimwa haki huyo House Negro?

Persistence does not convert an evil into a good. Polygamy might have survived many years in primitive communities. It might even have looked like a normal tradition. That does not absolve it from being evil. Hata ukeketaji sehemu nyingi ni tradition lakini bado ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Ni aibu kwa taifa kuwa na Rais mwenye wake wawili. Kama si aibu kwa nini Rais afiche mke wake wa pili?

Ni kujidhalilisha kwa wanawake wawili kuchangia mume mmoja. Tushirikiane kupiga vita tabia ya kuwadhalilisha wanawake kwa njia hii. Ukombozi wa wanawake ni ukombozi wa binadamu.

Jealousy is a natural, universal phenomenon. Kwa hiyo unataka kuniambia kama watakuwa wanaoneana wivu basi watakuwa wananyimwa haki zao? What the hell? Ingekuwa wanalazimishwa kuchangia mume mmoja hapo mimi na wewe tungekubaliana. Lakini kama wanachangia huyo mume kwa hiari yao basi sina tatizo.
 
huku kudharau kila mila yako na kuabudu cha west, sijui tutafika wapi... Vipo vitu vya kuiga lakini sio kila kitu. Ni wapi pameonyeshwa hao wanawake wa west wako happier kwenye ndoa zao kuliko wanawake wa kiafrika waliokua kwenye ndoa za mitala?...taja study moja tu.

Hao wazungu kina britney spears wanafunga ndoa kwa siku 3 then anadivorce, then anafunga tena anadivorce after 2 years, ndio mnaona the right way to go?...kwa wawest wengi ndoa haina thamani zaidi ya convinience ya muda flani tu, divorce zina skyrocket, suicide rates ziko juu, je umejiuliza why suicides sio tatizo kubwa kwetu pamoja na umaskini wetu. We ndoa gani za kuiga na watu kabla ya ndoa wanasign prenuptial agreements?...Kwa maana wameshajua watamwagana tu. upuuzi mtupu! ZIDUMU AFRICAN CUSTOMS!

Mwisho mtakuja kutuambia tuanze kucelebrate GAY marriages in Tanzania, sababu mtasema hata west zimekubaliwa na ni "human rights".... utumwa wa fikra ni hatari kuliko ufukara!
 
huku kudharau kila mila yako na kuabudu cha west, sijui tutafika wapi... Vipo vitu vya kuiga lakini sio kila kitu. Ni wapi pameonyeshwa hao wanawake wa west wako happier kwenye ndoa zao kuliko wanawake wa kiafrika waliokua kwenye ndoa za mitala?...taja study moja tu.

Hao wazungu kina britney spears wanafunga ndoa kwa siku 3 then anadivorce, then anafunga tena anadivorce after 2 years, ndio mnaona the right way to go?...kwa wawest wengi ndoa haina thamani zaidi ya convinience ya muda flani tu, divorce zina skyrocket, suicide rates ziko juu, je umejiuliza why suicides sio tatizo kubwa kwetu pamoja na umaskini wetu. We ndoa gani za kuiga na watu kabla ya ndoa wanasign prenuptial agreements?...Kwa maana wameshajua watamwagana tu. upuuzi mtupu! ZIDUMU AFRICAN CUSTOMS!

Mwisho mtakuja kutuambia tuanze kucelebrate GAY marriages in Tanzania, sababu mtasema hata west zimekubaliwa na ni "human rights".... utumwa wa fikra ni hatari kuliko ufukara!

Sasa na wewe unataka kusema mtu hana haki ya kuwa gay?
 
Whether polygamy is bad or good, I think is a more of a personal opinion than of fact. I don't think there is any scientific reason of why polygamy is necessarily a bad thing.

Are monogamy societies better off socially than polygamy societies? Are those who claim to be monogamists, truly monogamists or de facto polygamists under the umbrella of monogamy? Some of them are shamefully serial monogamists! For most men, monogamy is like socialism, it sounds like a good thing but it is totally impractical! Even the history continues to prove this.

I don't understand why our President conceals the fact that he is a polygamist! Tanzaniaan need to know their 'first ladies' so that they can accord them their deserved respect!

If he (His Excellence JK) can effectively deliver what they promised to deliver in their 2005 manifesto as a monogamist or a polygamist so let it be.
 
"Sasa na wewe unataka kusema mtu hana haki ya kuwa gay?"


mkuu, nimeongelea GAY MARRIAGES,... hebu soma uelewe kabla ya kupost.
 
So long as these are consenting adults having made their decision with informed consent, I have no problem at all. If a man wants to marry hundreds wives let him do so, so long as there are wives wanting to be treated as such.

My only problem is the hiding of the other wife. Surely, we need to and should know both wives of our president so that we know the people who influence our president's decisions behind the scenes. To me, this is an issue deserving a close look in a way of discussion.

Kitila uishofu, rais wetu anatuwakilisha wengi sana, wengi wana nyumba ndogo mkuu na wanaficha! yeye Kikwete naye yumo humohumo.

In other words hajamuoa huyo mwanamke mwingine kama 'mwislamu' la amemuoa huyo mwingine kama hawara tu, nadhani alimpata kipindi cha kampeni(??), na sio mmoja.

Angekuwa amempata kihalali, kwa minajili ya dini, hasingemficha

Au kama mwanamke sio mtanzania, amepewa na waarabu au alipigiw pande na akina Rostam, kwa nini amwonyeshe.


Awe ameoa wengi mmoja au wachache, hiki kitendo cha kumficha hakimuhalalishi huyo mke mwingine, wala hakimpi raha yeye mwenyewe!

Hivyo basi, anatupa ujumbe mwingine kuwa hata yeye hajapenda, makabila au nchi zingine kwa rais kuoa mtu wa taifa lingine ,lina maswali mengi sana wala hatukutakiwa kabisa kumpa urais huyu bwana

narudia tena isije ikawa huyu bbie ndio aliyeshauri mambo ya OIC?? duh!

Hongera Ridhwan kwa kuoa mchaga!
 
Hey, if women want to get down like that (marry multiple men) then more power to them. What's good for the goose is good for the gander.

I liked this! But I stick to my values, anyway you are an independent liberal who represent your own ideas. What about these guys who are arguing that polygamy is African, and monogamy is western oriented; why shouldn't it be taken that, it is a weakness, and have taken weak (weaked)people especially in Africa to term it as "our culture". I 've never seen any documented history which justifies Africans as polygamists; only that hearsays and interviews from individuals who have tried to represent Africa; from their weaked views that polygamy is African ways of living culture. My grandfather and other neighbours i know (those with high calibre) had developed a way with one wife and had best of the family values.
Europe and even other parts of the world exercised polygamy in the past; and also our own ancestors (in Africa) exercised monogamy and only those who had power had polygamy and they had reasons to do so. They had power; and the society at that time accepted it.

As a nation we must embrace a culture of respecting our laws; unfortunately the law breakers are the one who are supposed to be the law enforcers; it makes easier for them to break such laws.

Why I condemn polygamy is not from the religion point of view, it is how it enslaves women, and also how it deprives love on woamen and children. Let us be serious, the situation in a country like Tanzania, in which its samples represent how Africa is is alarming; our presidents shud focus on solving grave problems facing our nations; a president who is practicing polygamy cannot work properly; he has to focus most of his time on other matters than issues which are national.
 
huku kudharau kila mila yako na kuabudu cha west, sijui tutafika wapi... Vipo vitu vya kuiga lakini sio kila kitu. Ni wapi pameonyeshwa hao wanawake wa west wako happier kwenye ndoa zao kuliko wanawake wa kiafrika waliokua kwenye ndoa za mitala?...taja study moja tu.

Hao wazungu kina britney spears wanafunga ndoa kwa siku 3 then anadivorce, then anafunga tena anadivorce after 2 years, ndio mnaona the right way to go?...kwa wawest wengi ndoa haina thamani zaidi ya convinience ya muda flani tu, divorce zina skyrocket, suicide rates ziko juu, je umejiuliza why suicides sio tatizo kubwa kwetu pamoja na umaskini wetu. We ndoa gani za kuiga na watu kabla ya ndoa wanasign prenuptial agreements?...Kwa maana wameshajua watamwagana tu. upuuzi mtupu! ZIDUMU AFRICAN CUSTOMS!

Mwisho mtakuja kutuambia tuanze kucelebrate GAY marriages in Tanzania, sababu mtasema hata west zimekubaliwa na ni "human rights".... utumwa wa fikra ni hatari kuliko ufukara!

Nani aliyekuambia polygamy ni Africa way? People like you from your own weakness will term it that way!
 
A Tale of Two Wives


A couple of days back we had people here claiming that JK had two wives (at least). That sounded like a joke, but having more than one human being for a wife is no laughing matter!

JK is a leader. At east that is what most of us believe. What does it say about his view regarding the dignity of women if he can pick a couple of them as wives? Nothing lowers the dignity of women more than to combine several of them as your wives.

Leaders know that they are held to a higher standard than the rest. That is why some of them hide the fact that they have more than one partner when they are running for office. It is not possible to genuinely say that women have the same dignity as men and then have several of them as your wives.

Are one man and two wives three equal partners? In what way would the ladies be singly equal in dignity to the man and to each other? The dignity of each one of them is grossly violated when they take turns playing wife!

If JK has two wives then he should stop hiding one of them. He should at least have the decency to treat them with equal dignity, both in private and in public. He should take them both on his frequent international travel, and attend all functions with both. If he is embarrassed to be seen to be polygamous, then he ought not be polygamous! Above all, he should bring them both to his public rallies when he runs for re-election. The people deserve to know what kind of a man they are electing into office.

It may well be that some religions allow men to marry several wives. But it does not follow that nations approve of polygamous individuals ruling them. It offends against equality, and it is deeply embarrassing to have a polygamist as your president!

How can women activists in Tanzania close their eyes to polygamy? Polygamy reduces women into objects of pleasure. Women are not the same as men, but they are meant to be of equal dignity to men. In a situation of polygamy, to fight for the dignity of women must include fighting to end the abhorrent practice!

In this postmodern world, it is unacceptable for a nation to embrace polygamy and or polyandry. We must end it this primitive practice!

Well said mkuu. But you should remember that this thing is indirectly provided withing our constitution. Polygamy is inseparable part of islam and we all know that our constitution allows us to worship freely and practice what our religions want us to do. I do not know why you say this is a primitive act. It is a very social act and it strengthen sisterhood and family ties between man and a couple of families of married women. If you think this is primitive, we should first have a one wife, one husband law in our constitution and see whether that one contradicts with the clause on freedom of worship. Then we can tell what kind of act is it.
 
Well said mkuu. But you should remember that this thing is indirectly provided withing our constitution. Polygamy is inseparable part of islam and we all know that our constitution allows us to worship freely and practice what our religions want us to do. I do not know why you say this is a primitive act. It is a very social act and it strengthen sisterhood and family ties between man and a couple of families of married women. If you think this is primitive, we should first have a one wife, one husband law in our constitution and see whether that one contradicts with the clause on freedom of worship. Then we can tell what kind of act is it.

there is freedom of worship in America
there is a freedom of worship in Europe
there is freedom of worship in Japan
there is a freedom of worship in China
ETC ETC ETC ETC

BUT ALL THESE COUNTRIES PROHIBIT POLYGAMY
 
So long as these are consenting adults having made their decision with informed consent, I have no problem at all. If a man wants to marry hundreds wives let him do so, so long as there are wives wanting to be treated as such.

My only problem is the hiding of the other wife. Surely, we need to and should know both wives of our president so that we know the people who influence our president's decisions behind the scenes. To me, this is an issue deserving a close look in a way of discussion.

You hit the point that I was thinking about. I don't have any problem with JK having Zillion number of wives.

He is a muslim and according to Islam those with more than one wife they are required to treat them equally, but it is not a secret that JK is hiding his other wives from the public and they don't enjoy the same opportunities like Salma Kikwete and therefore not treating them equally, that is my main concern.
 
"Nani aliyekuambia polygamy ni Africa way? People like you from your own weakness will term it that way!"

Interesting comment. To me polygamy is a sign of strength!... So what do you say about that?...

It is clear kuwa kwenye traditional african societies nyingi polygamy is OK, soma historia za watemi mbalimbali, au kaa na wazee watakuambia. It is not a must but it is OK. Nothing to be ashamed of. Mwenyewe umeshaji describe as kuwa kwenu ni "those with high calibre". No wonder sishangai brain washing yako... because that statement already says a lot. Im sure hata hiyo definition yako ya "those with high calibre" itakua ndio ileileeee...
 
there is freedom of worship in America
there is a freedom of worship in Europe
there is freedom of worship in Japan
there is a freedom of worship in China
ETC ETC ETC ETC

BUT ALL THESE COUNTRIES PROHIBIT POLYGAMY


It seems whatever those countries approve kwako ni kizuri na utafanya tu... kulekule.

Nimewauliza mtaje study iliyoonyesha hao wanawake waliokua kwenye monogomous marriages wako happier, mnapiga chenga tu na mambo ya kumezeshwa blindly na west.
 
"Nani aliyekuambia polygamy ni Africa way? People like you from your own weakness will term it that way!"

Interesting comment. To me polygamy is a sign of strength!... So what do you say about that?...

It is clear kuwa kwenye traditional african societies nyingi polygamy is OK, soma historia za watemi mbalimbali, au kaa na wazee watakuambia. It is not a must but it is OK. Nothing to be ashamed of. Mwenyewe umeshaji describe as kuwa kwenu ni "those with high calibre". No wonder sishangai brain washing yako... because that statement already says a lot. Im sure hata hiyo definition yako ya "those with high calibre" itakua ndio ileileeee...

FOR YOU IT CAN BE A SIGN OF strength depending on which society you come from; but really is a weakness which you can't see from my simple theories. Umeshasema watemi mbali mbali, nishakuambia kuwa kwa wakati ule yes, that society allowed that way; and even other countries also allowed that system. There was polygamy in Europe and also eveywhere in Asia. Serious people shud look on priorities, and our values should be centered on strong families. On the question of "calibre"; this word shud not bother you much; i wanted to mean "respected" people.
 
there is freedom of worship in America
there is a freedom of worship in Europe
there is freedom of worship in Japan
there is a freedom of worship in China
ETC ETC ETC ETC

BUT ALL THESE COUNTRIES PROHIBIT POLYGAMY


It seems whatever those countries approve kwako ni kizuri na utafanya tu... kulekule.

Nimewauliza mtaje study iliyoonyesha hao wanawake waliokua kwenye monogomous marriages wako happier, mnapiga chenga tu na mambo ya kumezeshwa blindly na west.
Sober,
I condemn polygamy not because of studying anything West, but from my own values I was brought in Tanzania. By learning from my parents and forefathers. Leave the west away; I have reasons to say that weakness drives many African; to say that polygamy is our way; not at all.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom