Ingekuwa raha sana maana hatungekuwa na matumizi makubwa ya kufanya uchaguzi ; hivyo kupunguza ugawaji wa hela ovyo wakati wa kutafuta kura na hivyo kupunguza mfumko wa bei.If GADDAFI was the president of TANZANIA...... do u think Tanzanians could be in position to organise such a big resistance against him?? on my opinion i think we Tanzanians are not capable and the guy could rule us forever
Kama wameshindwa kuorganize kumtoa JK kumtoa Ghadafi ni ndoto. Kwanza inatakiwa kuzifahamu sababu za kumondoa huyo Ghadafi Libya. Huko Libya Umeme ni bure, maji bure , elimu bure. Nyie bado mnamlilia Wile na umeme wenu wa kijiko.
Kusingekuwa na wakristo na mitaa yote ingejaa misikiti badala ya shuleIf GADDAFI was the president of TANZANIA...... do u think Tanzanians could be in position to organise such a big resistance against him?? on my opinion i think we Tanzanians are not capable and the guy could rule us forever
Kama wameshindwa kuorganize kumtoa JK kumtoa Ghadafi ni ndoto. Kwanza inatakiwa kuzifahamu sababu za kumondoa huyo Ghadafi Libya. Huko Libya Umeme ni bure, maji bure , elimu bure. Nyie bado mnamlilia Wile na umeme wenu wa kijiko.
yani Libya kila kitu bwerere,watanzania kibao wanadhaminiwa na serikali ya libya kusoma chuo kikuu kule,Libya imetoa ajira ya zidi ya walimu 700 wa Kiswahili ambao nchi yetu ilishindwa kuwapa ajira! hivi shida ya Gaddafi nini nini?
jamani walibya wanatafuta laana kweli mkataa pema pabaya panamwita kwa rasilimali tulizonazo tukampata raic kama gadafi 2navyopenda starehe kila cku ingekuwa sikukuu