If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

CHADEMA have gone utterly against what they believed on... simply because of weak analysis au mawazo hasi from a a few members. MMM has said it all and i dont think kama kuna wa CDM anayeweza kusema vizuri zaidi

CDM wamesaliti believers wao, wametoa ushindi wa kishondo kwa ccm

nasikitika sana

Natamani kuamini kwamba cdm wana wild card, au wana extra genius approach nisiyoweza kuiamini, lakini nachelea... MAYBE WANAYO MAANA WANA KITU FULANI KILA SIKU HUWA KINANISHANGAZA

BUT ONE THING FOR SURE, IF THEY APOLOGIZE, THEY WILL LOSE WALE MBAYUWAYU, AND IF THEY STAY FIRM THEY WILL CHOSHA MBAYUWAYU

LETS WAIT AND SEE 2013 IS NOT FAR
 
Nahisi Malaria Sugu kaiba password ya Mwanakijiji na ku log in.
Peopleeeeeeeeeeeeeeeees poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
 
Wengi wameshindwa kumwelewa Mwanakijjiji. Someni vizuri mtamwelewa hajawa ndumi la kuwili. Kwa uelewa wangu mdogo anasema hivi
kwa vile CCM wanaona au tutumie neno wanaamini walishinda kihalali, Chadema kuwalk out wakati mkulu anahutubua ilikuwa ni kosa etc. basi Chadema waombe msamaha ndio wanachosubiri CCM mpaka sasa. Nimepatia MM nirekebishe tafadhali. Don't get me wrong ndio maana nimesema kwa uelewa wangu mdogo. Viongozi wa Chadema mnatuchanganya ninyi mpaka tunashindwa kuwaelewa. Wengine kukosa vitu maalumu kelele na pengine kuhama chama eti wanarudi CCM. Tz. ukombozi ni ndoto ya mchana kwa kweli.
 
Mhhhh! I am simply out of words! Hivi Ni Chadema walio imply kuna udhalimu au watanzania wenyewe walijionea? Kazi kweli kweli kwenye hili jukwaa la siasa! Nachoka sana na hizi siasa za Bongo especially humu ndani! God bless us all with Knowledge!
This is where all the magic lies!..gotcha Lady!

Mwanakijiji seems as the days go you are getting closer to your true colors...It was once CCJ, and now you are down here to CDM, TRYING all the ways to make people believe that all what they chose to invest in, as their political and ideological destination, is futile!:mod:...Its badly frightening to my part!....
I will not move an inch Mwanakijiji..and mostly, may be to your disappointment, will positively agree to whatever is the decision made for the betterment of the party and the citizens!
What CDM has opted currently, was the almost the remaining slot(for the time being!)...
Unajua mtu akiwa nje ya uwanja anaona makosa sana...Uwill never come to test a pinch of what Slaa is going thru' at the moment Mwanakijiji!
U better keep your words "just WORDS"....thats me!
 
MMJ,<br />
<br />
you are overall wrong and correct to some bullets, you can remain with slogan but chadema ans slaa are strategic, they have all sympathy of tanzanian, now they dont want be as ngangari as cuf which lost trust on bump; chadema wants to start its work now and need on the level of a normal political party where for it peace is important than presidency thus they will very easily be understood by Tanzania. Believe ccm will not manipulate anything, they will have no ,anipulation. Sasa hata wizi wao utasemwa sio kwa sababu i siasa bali kweli. Thanks so you are mostly wrong and very partly correct
 
MwanaKijiji hapo siko pamoja na wewe, vinginevyo uniambie ukweli umekutwa na nini
kwa sababu Chadema hawakuhubiri hayo yote uliyoyaorodhesha, ukizingitia kuwa hali ilikuwa
wazi tu kwa uovu ambao CCM na Kikwete waliwatendea wananchi wasiowakubari, kwa kuvunja sheria za uchaguzi
kwa makusudi kabisa baadhi ya maeneo wananchi waliojionea wenyewe, vipi leo CDM waombe msamaha? are you serious?
or you've got some email under the table which push you to come with this one side hints
 
umekosa neno moja "it seems"..
Sijaliona hilo neno 'it seems' labda ni macho yangu, but back to my point of view, even if you add that word your sentence will read as 'It seems CDM is not united in VISION but united in LEADERSHIP', to me I don't see the problem here MMKJ the unite in leadership leads to a strong vision and mission and not vice versa.

That is to say in any organization it is more difficult to build strong and 'united vision' if you are not united among yourselfs and bare in mind that vision is not an individual opinion does not change frequently there might be flactuations but vision will remain for several years, an employee can't change a vision of the company, same applies to political parties a member can't change the vision of the party new members can join and leave the part but the vision is there to stay.
 
I myself am fighting for transparency and a better ruling system especially decreasing the power of the president.... people needs to have more power........ (this can only be obtained by getting new katiba).......... And Since Chadema is the best Vehicle there is to get me there, i will stick with them despite their flaws........ This apologise business will do nobody any good..... what chadema should do is to stop talking and walk the walk.... after all action speaks louder..... There a lot of things needs to be done.... Chadema MPS Please start delivering....
 
Mwanakijiji,

Vitu vingi ulivyosema ni vya kweli kama tungekuwa tunaishi katika ulimwengu wa nadharia. Ni lazima mtu atambue ya kuwa uchaguzi wa Rais ukishamalizika hakuna mtu wala chombo kinachoweza kupinga matokeo yaliyotangazwa na NEC. Kwa hiyo, hata kama CDM wangeendelea kushikia msimamo wao hakuna jambo ambalo lingebadilika. CHADEMA wamejua njia pekee ya kupambana na hawa CCM ni kwa kwenda bungeni na kufichua maovu na kudai katiba mpya. Kutoitambua serikali ingekuwa ni sera ambayo isingesaidia CHADEMA na taifa kwa ujumla. Mimi nawasifu uongozi wa CHADEMA kwa kuangalia picha kubwa na kuweka maslahi ya taifa mbele.
 
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general.
Chadema fanyeni fasta kuomba samahani... Mie nitawasaheme, kwani toka awali nilikuwa najua nyie ni wababaishaji!
 
MMM, nawe unatakiwa uwaombe radhi cdm, yaani wabunge wote, plus kamati kuu unaona hawakutoa maamuzi sahihi, eti kuna lack of leadership, hao waliopo si viongozi,ila mawazo zako tuu ndo yako sahihi, eti wasema sitasema tena kwani wewe ni nani hasa, ni zaidi ya CC ya cdm. ubaya wa sisi wabongo tu washabiki sana, leo hivi kesho vile na vigeugeu balaa.
 
Nisome vizuri; utaona kuwa my sides remain the same. Si support michezo ya kisiasa. Nilichosema is the most rational way to move from here to "there".

Mzee Mwanakijiji, NATAMANI KUJUA MTIRIRIKO WA FEDHA kwenye akaunti yako hadi hivi sasa!!

Hakika tangu uanze kuhoji uhalali wa Wa-Tanzania wenzako kujitokeza kudai KATIBA MPYA ilhali wewe ulikua ukionelea ya kwamba wewe unayedai kuanza na kazi hiyo ya kudai KATIBA MPYA kupitia kalamu yako kazini kwako na watu wa aina yako tu NDIO MNAOSTAHILI kuonekana msitari wa mbele mkizungumzia hili, mwenzako Mwana-JF nilipata JIBU SAHIHI juu yako.

Nikakuambia kwamba nimegundua na ID ya Malaria Sugu pia ni ya kwako mwenyewe lakini hiyo ID ikikusaidia kuzungumza yale ya upande wa pili CCM unakokupenda zaidi. Mwanakijiji si hapo tu, ulipojitokeza na ujumbe wa kutisha sana kuhusu mashambulizi ya CCM kwa CHADEMA na mbinu kali kali toka kwa Chiligati, wenzio tulikupata siku nyingi tu. Lakini nalo pia ni UHURU na yaki yako ISIPOKUA TU KUVAA SURA MBILI KWA WAKATI MMOJA ndio kabisa sio yenyewe.

Kheri kwa mwajiri mpya uliyempata.
 
Mapema mno kufanya majumuisho chadema ni chama makini hawakurupuki maamuzi yanayofanyika ni mazito but very strategical. Sina wasiwasi
 
This is where all the magic lies!..gotcha Lady!

Mwanakijiji seems as the days go you are getting closer to your true colors...It was once CCJ, and now you are down here to CDM, TRYING all the ways to make people believe that all what they chose to invest in, as their political and ideological destination, is futile!:mod:...Its badly frightening to my part!....
I will not move an inch Mwanakijiji..and mostly, may be to your disappointment, will positively agree to whatever is the decision made for the betterment of the party and the citizens!
What CDM has opted currently, was the almost the remaining slot(for the time being!)...
Unajua mtu akiwa nje ya uwanja anaona makosa sana...Uwill never come to test a pinch of what Slaa is going thru' at the moment Mwanakijiji!
U better keep your words "just WORDS"....thats me!

U have said it all for me, thank god for this heat apparently packed in CDM as we get to see "ndumila kuwili" who jump outta frying pan! I hope all the non-believers in this movement will still be there when the STORM is over and the grass is GREENER, najua kwenye giza hili lazima tutoke na manundu ila tutafika tu upande wa pili tukiwa "vihiyo-free" KAMA YULE ALIYEHAMA KISA KAKOSA UBUNGE VITI MAALUM!
 
ukweli utabaki, uchaguzi haukuwa fair, ni kweli nec inafanya kazi na sisiem, cdm hamna haja ya kuomba radhi na kutoka kwenu bungeni ni kushinikiza katiba mpya, jk kweli alijisikia vibaya, na ndo maana hajatia neno mpaka leo. mi naamni katiba itabadilishwa, kwani sisiem wao hawajipendi. MMM usijaribu kuwatia upepo wasifanye mabadiliko. wananchi waliona uchaguzi na mapungufu yake na ndo maana kuna baadhi ya maeneo kulikuwa na vurugu, wala si baada ya cdm kutoka bungeni, au umesahau mmm,
 
Hii hoja ya MKJJ ingeletwa na wengineo ingitwa ni CRAP!!! Lakini wale mabingwa wa kuwashusha wenzao wametulia kimya, wachache wanahisi mheshimiwa amechanganyikiwa...!!!
Huu ndio ukweli mchungu, inabidi tukubaliane nao.

BTW; ni nani wamejidhihirisha ni POPO???
 
Back
Top Bottom