Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Imekuwa ni kawaida kabisa kwa thread kugongana na hivyo MODs kuunganisha thread hizo.
Siku ya Uchaguzi, huenda zikagongana nyingi zaidi na hivyo nyingine zikakoswa kusomwa. Ni kipindi hicho huenda users wa JF wakawa wengi zaidi.
Nilikuwa nina pendekezo moja; Kila Mkoa uandalie thread yake na matokeo ya Kila Mkoa yawe yanaripotiwa hapo kabla ya kuunganishwa na kufanya thread ya nchi nzima. Kwa matukio ya siku ya uchaguzi juu ya mwenendo mzima nadhani moja inatosha.
Siku ya Uchaguzi, huenda zikagongana nyingi zaidi na hivyo nyingine zikakoswa kusomwa. Ni kipindi hicho huenda users wa JF wakawa wengi zaidi.
Nilikuwa nina pendekezo moja; Kila Mkoa uandalie thread yake na matokeo ya Kila Mkoa yawe yanaripotiwa hapo kabla ya kuunganishwa na kufanya thread ya nchi nzima. Kwa matukio ya siku ya uchaguzi juu ya mwenendo mzima nadhani moja inatosha.