msikititi wa moa na kalali kule lyamungo na machame miaka ya 90 nikisoma lyamungo sec ,,,tuliienjoy sana..:spy:madame umenikumbusha mbali sana..dizain zetu hizo uswahilini! Huku hakuna self service! Ni mwendo wa kugombea,speed yako ndio itakushibisha
Mambo ya mchele hayoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!
Pilau yenyewe haijaenda shule imebaniwa viungo! Pilau sheria yake inatakiwa kua GOLD!
>Mlijua mtaupiga picha nini mbona mmeutawanya sana kwenye masinia ili uonekane umejaa.