IDDI AZAN,haya sio masuala ya kuuliza bungeni

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Nimeshangaa sana,yaani katika siku ndeeefu za mapumziko IDD Azan,amekaaa amewazaaaa ndo kaona leo aombe muongozo aulize ujinga kama huu kuwa Masaburi kalitukana Bunge,,,,,hakuna masuala ya msingi ya kuuliza,hebu fikiri masaburi si mbunge yupo nje unategemea utapewa jibu gani????mbona mnapenda kuuza sura,pamoja na madudu ya Masaburi,lakin kauli yake eti MNAFIKIRIA KWA MAKALIO naiafiki,kama ni hoja naunga kwa 100%,umeoksa cha kuuliza Azam?basi ALHAMIS uliza hili swali KWA PINDA,MANISPAA YA KINONDONI INA MKAKATI GANI WA KUHAKIKISHA MIGOGORO YA VIWANJA INAISHA????,LINGINE SERIKALI INA MPANGO GANI NA SUALA LA WAUZA UNGA HUKU KINONDONI.LINGINE TANDALE LINI WATAKUWA WANAISH BILA MAFURIKO BARABARANI??HASA KWA BI NYAU
 
Sioni wajibu na mamlaka ya kamati zetu za bunge kwa manufaa ya nchi,nadhani hawajui wajibu wao,na mipaka yao kiutendaji.
 
Ili tuujue ukweli wa Sakata la UDA ni vema watu kama Mhe. Iddi Azan wakayaweka hadharani yanayoendelea waziwazi na kwa siri. Sioni ubaya kwa Mhe. Azan kuweka wazi Bungeni aliyosema Mhe. Masaburi, tujenge tabia ya kuwalazimisha Viongozi wetu kuwajibika kwa kauli zao.
 
Kamtetea mkubwa wake ZUNGU, hana lolote. Swala la Masaburi haliwezi kuzungumzwa bungeni. kama limemchoma akamshitaki.
 
Mimi binafsi nadhan hana haja ya kulalama bungen,mnakumbuka stori za mengi na malima????maana mwishowe watasema kamat iundwe,na mtoa hoja au mwomba muongozo atashiriki na mipesa itaenda
 
Back
Top Bottom