Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Daaaah ! Kawanyanyasa, kuna ile wamembeba kwenye kiti !Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
Idd Amin na Rwanda wapi na wapi ndugu yangu? Amin alikua raisi wa Uganda sio Rwanda, na hata kwenye Hotel Rwanda Idd Amin hajachezwa kabisa coz hahusiani na kule. Hotel Rwanda inahusu 1994 Rwanda genocide sasa sijui Idd Amini ulimuona kwenye Hotel Rwanda ipi? Btw 1994 Amin hakua in power even in Uganda.Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
Mzee umechanganya madesa ! Naona majibu ya physics imeingiza kwenye Accounts, wapi na wapi ??!Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
we kijana umelewa eeh? watu tuko "siriasi" we unaleta mzaha, ng'ombe we!Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
hao ni wazungu wakiwemo waingereza na wadachi wakila kiapo cha kuitetea kwa mtutu uganda na Amin septemba 29, 1975. kudaaadadeki Amin!kuna anaefahamu kilichokuwa kikiendelea hapa?