Iddi Amin na wazungu

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
546335_298014996951868_100002301105174_668843_1225484964_n.jpg
 
Nyerere alimwita jamaa "nduli". Kwa sasa hii haiwezi kutokea Africa. Hata akina Mugabe sidhani kama wana ubavu wa kufanya vitu kama hivi!
 
Na mbabe pia! Niliangalia Hotel in Rwanda,jamaa ni noma!
Idd Amin na Rwanda wapi na wapi ndugu yangu? Amin alikua raisi wa Uganda sio Rwanda, na hata kwenye Hotel Rwanda Idd Amin hajachezwa kabisa coz hahusiani na kule. Hotel Rwanda inahusu 1994 Rwanda genocide sasa sijui Idd Amini ulimuona kwenye Hotel Rwanda ipi? Btw 1994 Amin hakua in power even in Uganda.
 
Sasa ukisikia wababe wa zamani ndo hawa sasa.Akikuchekea ujue chakula chake wakina dada mpo
 
Kiboko ya Wazungu na Magabachori. Chezea IDDI AMINI DADA WEWE eeehh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom