Huyo Iddi Simba hayo makaratee tu sitegemei chochote muhimu, yangu macho.
Wataingia ma high priced lawyers hapo na ku redefine what is is.
Hivi kuna wakonongo wanaendesha Hummer mpaka leo?
Lawyer wake ni Mzee El-Maamry, swaiba mkubwa wa mkuu wa Kaya.
Hii kesi inaweza kuwa mtihani mkubwa kwa watu fulani kwa sababu huyu Simba ana mtandao wa nguvu sana. Tayari leo hii kaonesha cheche zake kwa kutoa dhamana yenye thamani ya Tshs 8bn. Na amesema itukumike kuwasaidia hao wengine walioshitakiwa naye! Sinema ya nguvu!