Kwani Huyo wa bagamoyo ndiye aliyemtuma Idd aibe? Simba amewwahi kutuhumiwa zamani kabla hata ya utawala huu, je hatua gani alichukuliwa? Au na hao waliomuacha mda huo walikuwa na vichwa vya nazi? Au hujui historia ya huyo mzee? Au yy ndiyo mahakama? Acha kuropoka kwa IDs za JF, kama ww mpambanaji yaseme haya kwa jina lako!
so utawala huu umuache?