Idara ya uhamiaji Tanzania!

...kwa hiyo angekuwa mweusi anapiga hizo picha usingekereka? yaani mijitu kama hii mzigo mkubwa sana kwenye jamii maana imejaa chuki tuu za kishenzi na hazina sababu zozote na utakuta ndio ya kwanza kulaumu weupe ni wabaguzi,huna tofauti ni ile huku tunayaita KKK...unaonekana hata kusoma hujasoma na hujawahi kusafiri mpuuzi wewe!

Kutumia lugha kama hizi hakuonyeshi una hoja kwenye uliyoandika. Kama kusoma na kusafari matokeo yake ni lugha kama hii basi vyote hivyo havina maana. Bila shaka una miaka mingi mdomo wako haujasukutuliwa.
 
Kutumia lugha kama hizi hakuonyeshi una hoja kwenye uliyoandika. Kama kusoma na kusafari matokeo yake ni lugha kama hii basi vyote hivyo havina maana. Bila shaka una miaka mingi mdomo wako haujasukutuliwa.

...subiri ndugu yako Chaku akupe thanks!
 
.....unaonaje ukienda kusaidiana na Chaku kuwa report wazungu wanaopiga picha jikoni bila vibali!

Maneno ya mshindwaji hayo. Hakuna mahala popote niliposema nakubaliana na kila alichoandika Chaku. Kwamba sikubaliani naye hainifanyi niwe "nimesoma au nimesafiri" kiasi cha kutapika sumu uliyotapika!
 
ndo hivyo tena, nchi imevamiwa, yaani hata hapo uhamiaji wanatoa vibali hovyo, hata sijui wanatumia criteria gani. kuna ofici nyingi hapa mjini hata office asstants wanatoka kenya na uganda na wanapewa work permit kabisa, what can we call this, lack of direction?
 
Umewahi toa taarifa kuhusu such people sehem husika? Ulijibiwa nini? tupe ushuhuda wako hapa. The best thing we should do is to immediately report such dangerous people to the relevant authorities kuliko kukaa na kunung'unika tu kwenye forums. Often times tumemsikia Kova/Mwema akisisitiza ushirikiano toka kwa raia. Tuwape ushirikiano kwa kutoa tips tukiona kuna watu hatari. Hiyo ni kwa faida yetu sote na mali zetu sio peke yao kama dola.

Mkuu kinachosemwa na kinachofanywa ni tofauti kabisa na hali halisi. Na kuna baadhi ya mambo ambayo ukisema yanaweza kushighulikiwa na mengine ukisema unaweza kushughulikiwa.
Ukitaka kujua ukweli wa mambo hapa Dar es salaam ni kuwa, polisi wanawafahamu majambazi wote wakubwa, wakitaka kuwakata ni jambo la siku chache. Lakini kwanini hawafanyi hivyo, that can be your home work.
Ninachokisema hapa Uhamiaji wanakijua, kwani ndio wao wanaowapa vibali vya ukazi, na ukijaribu kuwasema kunakohusika unaweza kuingia matatani mwenye. Kwa kuwa kuna wenzetu waliojaribu kufanya hivyo na wakaishia matatizoni.

Unataka kuniambia polisi hawajui nani mafisadi? mbona wanatajwa kila siku? lakini unaona nini kinafanyika. Sanasana polisi wenyewe wanaendelea kuwapa ulinzi. Kwa hiyo mkuu it is not a matter of just snitching them, they are known.
 
Naona debate ina endelea.
Pia mimi naona watanznaia siis ni gullible-Wazungu hawa ni just time pass..
But I am worried about the influx of PAKISTANIS..These are all drug dealers and look how they are controlling the car show rooms? Near shoppers plaza when I went to purchase a car, I heard the owner- a pakistani- speaking that here in tanzania NO PROBLEM..MONEY SPEAKS! and the way he was bragging..I am worried about our country THE SOUTH AFRICANS CAME AND LOOTED...THE CHINESE CAME AND ARE LOOTING..THE PAKISTANIS ARE HERE TO STAY AND WE WILL BE DRAINE DIN BLOOD..WAKE UP TANZNAIANS...
 
Jamani mbona watu mnajibu juu juu. Jamaa alitaka kufahamu kuhusu sheria kutokana na baadhi ya kazi wanazofanya hao watu sijui ndio mnaita wawekezaji au waporaji. Unajua hata kwenye nchi zao wana sheria kali za ajira. Kuna kazi za kufanywa na wao hata kama wamewekeza. Hata receptionist atoke huko. Kuna ofisi niliwahi kwenda, the reciptionist was a foreigner,hata hizi jamani. Zaid ni uzembe wa watendaji wa uhamiaji na wizara ya kazi pamoja na utumishi. Natoa mfano wa ofisi moja ambayo mtu alikuja kama tourist, normally unapata three months visa, then akafanya ujanja siwezi kuwa na uhakika kuwa ni rushwa,baadaye akapata work permit toka P O PSM (presidents Office Public service Management, after more tha 5 years ikagundilika makosa, then wakaamuru aondoke, Chini ya miezi mitatu karudi kwa kampuni nyingine, njia alizotumia sijui. sasa ingeukuwa kwao unadhani ungeruhusiwa rudi, tena Passport ingegongwa muhuri wa wewe usirudi,kwani ulivunja kanuni, hivyo kuna shida kwenye utendaji
 
naona mnaanza kulaumu wageni kwa njaa zenu na ujambazi uliojaa mjini,wengi wao hao mnaowaita illegal wako kuwasaidia na msijidanganye eti Tanzania kuna tatizo la uhamiaji kama wapo ni wachache sana ambao hakuna hata haja ya serikali kuwa na wasiwasi...tatizo ni wananchi wenyewe ndio majambazi na wauza unga na msisingizie wageni na wala hakuna hilo tatizo!
 
naona mnaanza kulaumu wageni kwa njaa zenu na ujambazi uliojaa mjini,wengi wao hao mnaowaita illegal wako kuwasaidia na msijidanganye eti Tanzania kuna tatizo la uhamiaji kama wapo ni wachache sana ambao hakuna hata haja ya serikali kuwa na wasiwasi...tatizo ni wananchi wenyewe ndio majambazi na wauza unga na msisingizie wageni na wala hakuna hilo tatizo!

**** wewe kalale huko
 
Koba said:
naona mnaanza kulaumu wageni kwa njaa zenu na ujambazi uliojaa mjini,wengi wao hao mnaowaita illegal wako kuwasaidia na msijidanganye eti Tanzania kuna tatizo la uhamiaji kama wapo ni wachache sana ambao hakuna hata haja ya serikali kuwa na wasiwasi...tatizo ni wananchi wenyewe ndio majambazi na wauza unga na msisingizie wageni na wala hakuna hilo tatizo!

Koba,

..kama mtu anakuja kwa nia nzuri ya kutusaidia Watanzania basi hana haja ya kutumia ujanja-ujanja na kupindisha sheria za uhamiaji.
 
Back
Top Bottom