Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
WanaJF:
naomba kuoitia jamvi hili iwapo kuna mtu anafhamu kinachoendelea katika Idara ya Uhamiaji -- sababu ya kuchelewesha kutoa paspoti.
Kuna dada yangu mmoja alioma pasipoti na kila kitu alikamilisha, hatua ya mwisho ilikuwa ni kuchukuliwa alama za vidole ambayo tayari alishachukuliwa, na akapangiwa tarehe ya kwenda kuchukua hiyo pasi ya kusafiria -- yaani aende baada ya wiki mbili.
Inakuwaje hadi leo karibu miezi miwili bado hajapata? kila akienda katika ofisi yao kule Wizara ya Ndani anaambiwa bado haijaletwa. Na hawatoi jibu ni kwa nini uchelewshaji huu.
Naomba Uhamiaji waeleze inakuwaje?
naomba kuoitia jamvi hili iwapo kuna mtu anafhamu kinachoendelea katika Idara ya Uhamiaji -- sababu ya kuchelewesha kutoa paspoti.
Kuna dada yangu mmoja alioma pasipoti na kila kitu alikamilisha, hatua ya mwisho ilikuwa ni kuchukuliwa alama za vidole ambayo tayari alishachukuliwa, na akapangiwa tarehe ya kwenda kuchukua hiyo pasi ya kusafiria -- yaani aende baada ya wiki mbili.
Inakuwaje hadi leo karibu miezi miwili bado hajapata? kila akienda katika ofisi yao kule Wizara ya Ndani anaambiwa bado haijaletwa. Na hawatoi jibu ni kwa nini uchelewshaji huu.
Naomba Uhamiaji waeleze inakuwaje?