Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,502
- 19,341
Propaganda:
Katika mazingira ya kisasa, propaganda ni njia inayotumiwa na vyama kujipatia wafuasi kwa kuwaambia lolote linaweza kuwavuta hata kama ni uwongo.
Je Tanzania tunahitaji idara za propaganda? Ni Vyama vingapi vya siasa vina hizo idara za propaganda??
Katika mazingira ya kisasa, propaganda ni njia inayotumiwa na vyama kujipatia wafuasi kwa kuwaambia lolote linaweza kuwavuta hata kama ni uwongo.
Je Tanzania tunahitaji idara za propaganda? Ni Vyama vingapi vya siasa vina hizo idara za propaganda??