Angalau blogu ipo. Ni kuiboresha tu. Salva na wenzake walisoma uandishi wakati mambo haya ya blogu na computer havikuwepo.
Hii isharekebishwa au na Mkulu bado yupo kama enzi zileEti wana blogu ya ukulu pale kwenye nafasi za bure (blogspot) ambako hata Michuzi alikuwa anataka kujitoa.
Ikulu Mawasiliano
Aibu kweli hii, kwa nini wasiwe na server yao?