Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutoa taarifa ya Michango iliyotolewa na nchi marafiki,Makampuni,Taasis na watu binafsi kwa wahanga wa Mafuriko ya Kilosa.
Pia Slaa amesema Serikali itoe taarifa ya Michango iliyotolewa kwa Wahanga wa Mafuriko ya Dar es salaam na Mabomu ya Mbagala. Slaa aliyasema hayo katika Wilaya ya Kilosa baada ya kuwatembelea Waathirika wa Mafuriko ya Kilosa katika Makambi yao.
video Chadematv ya youtube.
Pia Slaa amesema Serikali itoe taarifa ya Michango iliyotolewa kwa Wahanga wa Mafuriko ya Dar es salaam na Mabomu ya Mbagala. Slaa aliyasema hayo katika Wilaya ya Kilosa baada ya kuwatembelea Waathirika wa Mafuriko ya Kilosa katika Makambi yao.
video Chadematv ya youtube.
Last edited by a moderator: