Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
Idara hii yenye wafanyakazi zaidi ya 80, haina tija yoyote kwa walipa kodi wa nchi hii, hasa wa manispaa ya Temeke kutokana na kukosekana kwa uadilifu katika matumizi ya fedha za uma, ufanisi mbovu wa kazi, elimu duni ya wagani, kujuana kwingi, watendaji duni... TAMISEMI iimulike hii idara kuboresha utendaji wake, mana huyu mkurugenzi kashindwa...