SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Inasemekana kuwa wanawake walio wengi wamekuwa wakitembea na wanaume zaidi ya kumi kabla ya kuolewa. Idadi ya wanaume imekua ikiongeza siku hadi siku. Takwimu zinaonyesha hadi kufikia hatua ya kuoa/ kuolewa wanawake huwa wamekwisha kutembea/ na wanaume wengi zaidi ya wanawake/ mwanaume anaokuwa ameshawahi kuwa nao kimapenzi. SWALI:- MPAKA KUFIKA UMRI ULIO NAO USHAWAHI KUWA NA WAPENZI WANGAPI NA UNATEGEMEA KUONGEZA WANGAPI MPAKA KUOA/KUOLEWA?