Hey What is this>( Eee Mungu iangamize nchi hii, haina tofauti na Gommorah!) Mkuu baada ya kumuomba Mwenyeezi Mungu aiokowe nchi yetu wewe ndio kwanza unailani nchi yetu? Ahhhhh nchi yetu imekukosea kitu gani mpaka uilani?kama kulani inatakikana ulani Viongozi wa nchi yetu sio nchi yetu upo pamoja na mimi mkuu mpinga shetani?Nchi ya amani hii. Vurugu za Kenya ziliua 1000.
Amani feki ya wabongo wajinga imeua 1200. Idumu amani.
Eee Mungu iangamize nchi hii, haina tofauti na Gommorah!
1200?mmh
Nchi ya amani hii. Vurugu za Kenya ziliua 1000.
Amani feki ya wabongo wajinga imeua 1200. Idumu amani.
Eee Mungu iangamize nchi hii, haina tofauti na Gommorah!