"the problem is not me! the problem is you understading me!"khaaaaaaaa ! Thanks kwa kunistua! Nimestuka, cant wait for other mfyonzo! This tyme nauendea course kabisaaaaaaaa, lol!
aiseeeeee!"the problem is not me! the problem is you understading me!"
Fixed Point, mzima weye?? huyo aliyekutuma mwambie wenyewe hujawakuta! khaaaaaaaaaaaaaa! lol
ha haaaaaaaaaaaaaa, rafiki, mimi ni mzima wa afya... huwa najua kwenye hayo mambo huwa hakuna kusikiliza ya jirani.... namtonya tu rafiki yangu asije akapatwa yaliyowapata wenzieFixed Point, mzima weye?? huyo aliyekutuma mwambie wenyewe hujawakuta! khaaaaaaaaaaaaaa! lol
ha haaaaaaaaaaaaaa, rafiki, mimi ni mzima wa afya... huwa najua kwenye hayo mambo huwa hakuna kusikiliza ya jirani.... namtonya tu rafiki yangu asije akapatwa yaliyowapata wenzie
Marahabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, mzima weye?shikamoo mpenzi. mia
wenzie wangapi RAFIKI?? zaidi ya yule mpekuzi tu!? jamani, mi na babu mpaka mwisho, lolha haaaaaaaaaaaaaa, rafiki, mimi ni mzima wa afya... huwa najua kwenye hayo mambo huwa hakuna kusikiliza ya jirani.... namtonya tu rafiki yangu asije akapatwa yaliyowapata wenzie