kuna huyu alinipm eti ilapulapu pururuu
LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.utabaki na hizo screen sava wenzio wanajilia...................utakuta mafuta hamna.
LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.utabaki na hizo screen sava wenzio wanajilia...................utakuta mafuta hamna.
Hv huyu amada umelewa kapotelea wap??
mi staki upekuzi nilishakwambia! hakuna mtu zaidi yako papito wangu! hao wanaokwambia maneno hayo ni kutufitini tu! nakupendaje thatha?? si unajua bby wangu kwamba mi na we mpaka kiama eee?? mwahhh :A S kiss:LOL cacico popote pale ulipo hebu kuja pande hii uniambie hilo tunda unawagaia kina nani zaidi yangu? Kuna mtu nataka nimuoteshe kitambi matakoni.
Atakuwa bado amelewa pombe zikiisha atakuja tu!
ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?Hivi bestee..... mie nna haja ya kukuambia nakupenda? Weye si wajua kuwa nakupenda ile hamna mfano? Atakayekupokonya moyoni mwangu na apate kitambi mgongoni.....
hubby umeua ujue!! Khaaaa upendavyo hubby wangu! Vijiti mjini kushare! Hivi wake wenzangu wasiokuwa na wivu wako wapi??jumamosi itatosha? Mi nataka jumamosi na jumapili kabisaaaa!!
Khaaaaa! Tena?ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?
Nna mashaka Mods wanasoma PM zetu, wanaweza kusoma msg kwenye simu itakuwa PM? Stuka wife material...THINK!!ila ujue yule mkeo kuleeeeeeee bondeni hapendi unavyonipenda ujue?? anataka kuburst! lol! bebi wangu si unipe mimba tu apatwe na hasira vizuri! lol, mbona hujajibu PM thatha?
khaaaaaaaa ! Thanks kwa kunistua! Nimestuka, cant wait for other mfyonzo! This tyme nauendea course kabisaaaaaaaa, lol!nna mashaka mods wanasoma pm zetu, wanaweza kusoma msg kwenye simu itakuwa pm? Stuka wife material...think!!