Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Jamani, humu JF mie nafurahishwa na mambo mengi. As we are approaching weekend hebu pitia some of ID's! Yaani Loh!
Angalia hizi wehoodie, giLESi, @St Paka Mweusi (yaani Mtakatifu Paka Mweusi?). Halafu hili Ngongoseke lina asili
ya wapi? Na Bujibuji je? Haya huyu sijui wa sumbawanga? Anaitwa samilakadunda! Kuna figganigga na
ruttashobolwa!Uwepo wa 'bo' hapo mnh! Halafu huyu @X Pastor anamaanisha mchungaji wa X au mchungaji
aliyepita? Na huyu ni PakaJimmy. Hivi 'hiki' King'asti 'kikoje'? Ama kweli kuna majina humu!
Ila kuna waliojipendelea
sweetlady, ee bana! charminglady, FirstLady1, Erotica, Kipipi, Lizzy, pretta! Majina yanafanana na ID
All in all majina bomba kuliko yote ni ya mpenzi mama yangu gfsonwin na mmewe Kaizer!
Jf na majina bana!
Angalia hizi wehoodie, giLESi, @St Paka Mweusi (yaani Mtakatifu Paka Mweusi?). Halafu hili Ngongoseke lina asili
ya wapi? Na Bujibuji je? Haya huyu sijui wa sumbawanga? Anaitwa samilakadunda! Kuna figganigga na
ruttashobolwa!Uwepo wa 'bo' hapo mnh! Halafu huyu @X Pastor anamaanisha mchungaji wa X au mchungaji
aliyepita? Na huyu ni PakaJimmy. Hivi 'hiki' King'asti 'kikoje'? Ama kweli kuna majina humu!
Ila kuna waliojipendelea
sweetlady, ee bana! charminglady, FirstLady1, Erotica, Kipipi, Lizzy, pretta! Majina yanafanana na ID
All in all majina bomba kuliko yote ni ya mpenzi mama yangu gfsonwin na mmewe Kaizer!
Jf na majina bana!
Last edited by a moderator: