nkyalomkonza
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 1,154
- 443
Ofisi ya NSSF imekuwa ikifanya kazi kijima zama hizi za ICT. Huduma ndogo tu kama kuangalia statement ya mafao yako mpaka uwafuate ofisini kwao. Na Huko ofisini ni Dharau tupu. Kwa mfano:
- Wamejaribu kuweka huduma ya kuangalia Statemwent kwenye website yao lakini imewashinda. Hapa na maanisha haifanyi kazi
- Wakati kupata Lessen ya Udereva na Card za Bank haichukui zaidi ya siku mbili, NNSF kupata ID (Kitambulisho) inakuchukua zaidi ya Mwezi.