Am sure hapa we have a case and its worth a shot...., hata kama tukishindwa ku-reverse hukumu ya ICC nadhani hapa tuna grounds za kuweza kuishitaki Dowans... whichever the case we need to look at this more deeply
Nakubaliana nawe VOR kwani ikiwa ipo clause inasema hivi kwenye contract, ni vema tukapata mtiririko wa matokeo je ni lini Richmond na Tanesco walikaa na kuwa mutual agreement? Pia je ICC court walifahamu hili ikiwa kama ICC walifahamu ila wakaignore then we can revoke the award.