Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Sema kwa mfano baada ya hukumu na kabla ya malipo new facts zinatokea ambazo ni muhimu katika hukumu na zilifichwa kwa makusudi ili kunufaisha upande mmoja aliyedhuriwa ana recourse gani ya kisheria in light of 'no appeal clause'?