Jaman wana JF.Nimeuziwa monitor aina ya IBM flat scree,Haina cable hata moja.Je inatumia cable sawa na flat screen nyingin au IBM Cable zake ni tofauti? Vp indumu au ni bomu?sijui vitu vya kiteknologia kwa undani ndio mana nawashirikhsha jamani.
Nawasilisha.
Nawasilisha.