Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
welcome jf mzeluuHabri zenu ndugu ,nimekuwa nikifuatilia kwa karibu SNA mijadala mbalimbali humu jamvini ,nafurahi sana kuwa on air na kuchangia mijadala mbalimbali,
oooh so point yako ni kuonyesha sina la maana??? at this age kuna wanaofanya makubwa sema tu umetawaliwwa na fikra zako unazoziamini..dont think kila alie umri huu ni wa kushow off fb na mitandao mingine.
tuko tofauti
Kumbe ume graduate...23 bdo mdogo sana???labda unishauri nianzie umri gani?nikae ndani mpk lini ndo nianze kujichanganya na watu..hujui hata graduates tunatumia njia hii kupata kazi?or unadhani kila binti anaepost hivi anatafuta bwana au anajiuza? niambie nijifunze smart
hello jf!!
hope you are doing fine!
am aggie from dar,am looking for friends wa kufahamiana nao tu na kuwa marafiki cz naboreka!
jinsia zote wanakaribishwa ila sitaki wenye mambo yakihuni gals usiwe mmbeya wala kigeugeu!
this is all about making connections!
am a single girl...wa kawaida sio wa kishua...23 years pia old...fair black ...mengine utayajua pm!
karibu!
Wadada wa mujini siwawezi mkuu, maana akisha miliki degree tu, basi humu jf hatu hemiMpe kazi huyo!
asanteKaribu sana jf
anza weweAGGIE CHIEF ni pm kama upo serious
teh! mwache mtoto muzuri aje chemba bhanaanza wewe