Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
- Thread starter
- #41
Soma kwa makini what has been put forward na mwenzetu... imenisikitisha sana. Familia, kabila, anakokaa nk. Mbona alianza hata kutoka nae if it seems it was against all odds(because the only complement ametoa ni kwa alimpenda huyo binti tu - not what she represented!)
De Novo hate my guts but I speak what is from my heart maana imenigusa.
dadaangu, ndio maana Mungu hakuturuhusu kuwaza kwa sauti. unaweza kuwa great thinker lakini ukakosa namna ya kumwelewesha mtu kile kilichokufanya ukae na kuwaza kwa kina. sasa inapofika wakati mtu kuyatoa yake ya ukimyani anakuwa sumu? hata wewe kuna mambo ungeyaweka hapa jukwaa lingekushangaa. just be fair, and i learn from mistakes.
on the red, i wish u knew how i tried to avoid in the beginning. most women are so desperate just to have some one regardless of the presence of love or not. soma hiyo thread vizuri. nilisema, usitake kujua kiundani sana ila yatafakari hayo. u dont get the meaning. if u dont read between the line how can you so suddenly judge?