Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
makamo yanahusu vipi hapa?
lugha unayotumia ni kama vile home kwenu akuna mwanaume,kama vile <18
makamo yanahusu vipi hapa?
Even your dad,come on!ni mwaka umepita tangu aje kwangu na kunambia ananipenda sana,na kuniahidi mapenzi yake yote baada ya kuachana na aliyekuwa wake wa ubani ,lakini juzi nampigia simu ananiambia amerudiana na mpendwa wake ooh me nimepata shock naapa sitapenda tena,haya ni maneno ya mdogo wangu camilla,
husninyo sweet uwe makini mama naona kila mtu analalamika na wanaume,nisijeona post na ww unalia wamekutenda
lugha unayotumia ni kama vile home kwenu akuna mwanaume,kama vile <18
Wanawake ni invisible species,take care with them
unajibu mashambulizi. Lol.
Pole sana ndugu. Wanaume ni viumbe vya ajabu. Usiviamini hata kidogo.
Mmmmmh husy hata mı hunıamını jamanı!?
Ndo uhalisia huo mama weee
hamkawii kumwambia mume kua mtoto c wake,
au kumuua mume mpate mali kama wamachame
Ndo uhalisia huo mama weee
hamkawii kumwambia mume kua mtoto c wake,
au kumuua mume mpate mali kama wamachame
Kwa hiyo wanawake ni watu waaminifu sana? Just imagine: Zaidi ya 60% ya wanaume waliopimwa vinasaba (DNA) kwa Dar wamekutwa wanalea watoto si wao! Inanikumbusha usemi mmoja maarufu kwamba "mama ndiye anayemfahamu baba wa mtoto!"
kumuua mume mpate mali kama wamachame