Kama nalishwa bure,nakula bure,why all the chaos nikisema kwamba nataka kujiua niiondolee mzigo Serikali? And I tell you this commting suicide is not a big deal. Already nilikunywa pills 22 za quinine,but I di not die. Kwa hiyo,it is not the business of any body what I do. I am not saying I drank the pills to kill myself,I am just saying I took the pills to see what would happen.
And this I have noticed,wanawake wanakaa jikoni muda mrefu looking at the knife,and they are overpowered,overwhelmed by the vision of the knife and they become crazy.
Duh itabidi niache kukaa jikoni mda mrefu kama ni hivyo
Umenichekesha kweli
Sure nilikunywa zile 22 pills,lakini effect yake ilikwisha in less than 24 hours. Isipokuwa since that time,for some reason,I have trouble with balance in my ears,ambayo ni tatizo kubwa kwa sababu I like to drive a car at 100m.p.h.