I want commit suicide

Status
Not open for further replies.
''Usimfundishe Yesu kusali,
Usimfundishe Mtume kuswali''


Lakini,seriously,hili ni jambo ambalo nimesema,na limeleta outrage,na kusababisha concatenation of events I cannot control. Kwa hiyo,I widthdraw my statement. Kwa sababu Budha alisema mtu anaposema jambo,ni lazima aweze kutabiri atajibiwa vipi.
Au Sun Tzu alisema,Jenerali mbaya anapigana vita halafu anakagua kutazama kama ameshinda. Lakini Jerali mzuri anashinda kwanza halafu ndio anaenda kupigana.
Jambo muhimu kama unataka kufanya jambo lolote,fikiri kwa muda mrefu,and then,whatever you do is right.

yaelekea hushauriki. Do what is right for you
 
kabla hujajiua, tuelekeze kabisa eneo utakapokuwa msiba.
 
Wewe,you are absolutely correct. 50 pills. Lakini sitaki tena kujiua. Ilikuwa tu numepata message from my subconcious mind kuhusu quinine,a garbled message,not clear,about quinine,kwamba quinine matter ni one percent visible and 99 per cent invisible,and I was trying to determine what it meant. I decided it was an attempt to explain dark energy to me,kwamba if I find it difficult to understand dark matter,how it is that what we see is only a fraction of what is out there,then I should think of quinine,and consider why it has such a horrible taste,maybe it is because there is something behind it.
Nilikuwa nafikria kuhusu quinine,how that it has been phased out nowadays,I am told labda ni kwa ajili ya rushwa ndio imeondolewa katika soko.
Naambiwa hapa Tanzania mtu akitaka kuleta dawa mpya,it is very simple,kwa ajili ya utawala bora. He has to divide his money between three people;Mkemia Mkuu,nadhani,halafu,Blandina Nyoni,and the third person person I have forgotten,halafu drug yake inaruhusiwa kuingia katika market.
Kwa hiyo nilikuwa nafikiria haya mambo,and if I also thought about suicide,ilikuwa tu ni ramifications za kufikiria quinine and health.
Mimi sina sababu ya kujiua. Mimi naandikiana barua ana Price William. Kasi yangu imepungua sasa hivi,kwa sababu I cannot afford the postage.
 
Mtu kama hajaangalia sura yako anaweza akaona unatania mwanaume. Sasa fanya hivi; chukua kitu kinachofanana na bomu hivi hlf pita pale nje ya Ubalozi wa Embassy (upo pale karibu na Zantel HQ) huku inasema taa kiu biiiir! You will be to Hell in no time

Thanks Mkuu! Nilikuwa sijacheka siku nzima!
 
Wewe,you are absolutely correct. 50 pills. Lakini sitaki tena kujiua. Ilikuwa tu numepata message from my subconcious mind kuhusu quinine,a garbled message,not clear,about quinine,kwamba quinine matter ni one percent visible and 99 per cent invisible,and I was trying to determine what it meant. I decided it was an attempt to explain dark energy to me,kwamba if I find it difficult to understand dark matter,how it is that what we see is only a fraction of what is out there,then I should think of quinine,and consider why it has such a horrible taste,maybe it is because there is something behind it.
Nilikuwa nafikria kuhusu quinine,how that it has been phased out nowadays,I am told labda ni kwa ajili ya rushwa ndio imeondolewa katika soko.
Naambiwa hapa Tanzania mtu akitaka kuleta dawa mpya,it is very simple,kwa ajili ya utawala bora. He has to divide his money between three people;Mkemia Mkuu,nadhani,halafu,Blandina Nyoni,and the third person person I have forgotten,halafu drug yake inaruhusiwa kuingia katika market.
Kwa hiyo nilikuwa nafikiria haya mambo,and if I also thought about suicide,ilikuwa tu ni ramifications za kufikiria quinine and health.
Mimi sina sababu ya kujiua. Mimi naandikiana barua ana Price William. Kasi yangu imepungua sasa hivi,kwa sababu I cannot afford the postage.

Wakuu, tuache kumkejeli huyu bwana. He has a serious problem. Wahi kwa mshauri mkuu.
 
''Usimfundishe Yesu kusali,
Usimfundishe Mtume kuswali''


Lakini,seriously,hili ni jambo ambalo nimesema,na limeleta outrage,na kusababisha concatenation of events I cannot control. Kwa hiyo,I widthdraw my statement. Kwa sababu Budha alisema mtu anaposema jambo,ni lazima aweze kutabiri atajibiwa vipi.
Au Sun Tzu alisema,Jenerali mbaya anapigana vita halafu anakagua kutazama kama ameshinda. Lakini Jerali mzuri anashinda kwanza halafu ndio anaenda kupigana.
Jambo muhimu kama unataka kufanya jambo lolote,fikiri kwa muda mrefu,and then,whatever you do is right.

Ganesh mwenyewe huyo.

Ni heri umesema hayo.

Hivi mheshimiwa Pannasekara unawasiliana naye bado mkuu? Bado yuko South?
 
Dah i wish everyone could think beyond keyboards kama ulivyofanya wewe.....ushauri wako utampa faraja na matumaini mapya. big up sana AshaDii

Hii post imeniumiza sababu kuna mtu karibu yetu alikua anaongea hivi hivi kimzaha na tumempoteza.... Sometimes I wish tungechukulia serious, labda angekuwepo. Ganesh Comments za humu ndani zisikukatishe tamaa.... Yawezekana most wamechukullia mzaha sababu ni serious cases alafu umei-post Chit Chat. Lakini this is not a Chit Chating matter (atleast IMO).

Yawezekana umepost kwa kutania.... Ila naamini kabisa mtu mpaka ukapost kitu kama hiki ina maana somewhere at the back of the Brain ni kitu wafikiria..... Nimefurahi thou kua umei-post hapa JF (thou utapata kila aina ya Response ambazo ni negative and postive); for walau inatoa picha your dark thoughts...

Maisha ni magumu kwa woote usije fikiria ni wewe tu..... Na maisha Ganesh in not only about kuyafanikisha yaende vizuri. Ni beyond that, kuna families, friends, wakaribu wako na mengine mengi. Mafanikio yenyewe hayaji mara moja na wala hupewi na JK let alone kiongozi yeyote. Walofanikiwa wengi ni kwa kujiwezesha.... Na wala usitegemee kua kuja kwa Raisi mwingine maisha yatakua rahisi.... Asikudanganye mtu, yaweza kua hata worse. Hivo ukitegemea raise ndo akuboreshee maisha - mawazo ya kujiua yaweza chukua hatamu.

Najua hunijui sikujui.... But atleast we have one thing in common... Na hilo ni kwamba we are both members at JF, Na as your fellow member if you will allow me, let me be your ear.. nitakusikiliza na useme tatizo lako nini.... Ukiwa tayari if you don't mind naomba ni PM. If by any case waona ni usumbufu.... Usijali... wala usisumbuke... Naomba tu niseme I wish you all the BEST.


Pamoja Saaana

AshaDii.
 
Dah i wish everyone could think beyond keyboards kama ulivyofanya wewe.....ushauri wako utampa faraja na matumaini mapya. big up sana AshaDii



Vinci...I am humbled... Ila naomba niharakishe kukuuliza umemsoma Ganesh lakini?
 
Vinci...I am humbled... Ila naomba niharakishe kukuuliza umemsoma Ganesh lakini?

AD...hivi umemuelewa huyu mheshimiwa kweli???!!! maana jinsi anavyoendelea kupost, ndo ananichanganya kabisa?!!!! Ilinibidi niangalie hivi ni jukwaa gani vile, thought inaweza ikawa chit-chat!

Uwe na jioni njema my dear!
 
AD...hivi umemuelewa huyu mheshimiwa kweli???!!! maana jinsi anavyoendelea kupost, ndo ananichanganya kabisa?!!!! Ilinibidi niangalie hivi ni jukwaa gani vile, thought inaweza ikawa chit-chat!

Uwe na jioni njema my dear!



Hii ilikua Jukwaa la Chit Chat.... Nafikiri ndio maana member wengi wa mwanzo walipost kimzaha saana. Naona mods wakahamishia hapa; Huyu Ganesh is disturbed no doubt (Sorry Ganesh that is with all due respect) na ahitaji Psychological doctor ambae ni professional na aelewa indepth minds of such kama Ganesh. There is no way of reasoning.... Hata hivo sijakata tamaa namsoma nakumvutia pumzi... maybe I will reach somewhere.... Not saying I a proffessional; basi tu nipo interested....


Nakutakia jioni njema na wewe pia Dearest.... Hopefully mood iko pouwa! Naomba utume na maombi (for hapa kweli yahitajika! )
 
Hii ilikua Jukwaa la Chit Chat.... Nafikiri ndio maana member wengi wa mwanzo walipost kimzaha saana. Naona mods wakahamishia hapa; Huyu Ganesh is disturbed no doubt (Sorry Ganesh that is with all due respect) na ahitaji Psychological doctor ambae ni professional na aelewa indepth minds of such kama Ganesh. There is no way of reasoning.... Hata hivo sijakata tamaa namsoma nakumvutia pumzi... maybe I will reach somewhere.... Not saying I a proffessional; basi tu nipo interested....


Nakutakia jioni njema na wewe pia Dearest.... Hopefully mood iko pouwa! Naomba utume na maombi (for hapa kweli yahitajika! )

Yes, inawezekana kuna tatizo....but God forbid! Will do that my dear..........Thanks for such caring, I hope something good happens to him.

Remain Blessed dear.
 
With friends like you who needs enemies? You are just jumping to conclusions bila ushahidi wowote. Mimi ni mfuasi wa Yesu aliyekubuhu.Pamoja na Mtume pia. In fact,nimeisoma Quraan cover to cover 6 times. Nimeisoma Biblia cover to cover countless times. Lakini siyo siku za karibuni.
Na Yesu Kristu anasema kwamba angependa sana kuongea na wakuu wa nchi hii,na nikifanya mpango,angependa kuongea nao,kwamba nirdi kumweleza kama mku fulani yupo tayari kumuona Yesu.
Kwa hyio wakuu kama vile mkuu wa udsm au yule Executive Director wa Muhimbili aliyewafukuza madaktari,au mku wa mkoa wa dar es salaam,kwa sababu kuna matatizo sana mabwepande. Waaathirika wa mafuriko wanapelekwa pale,lakini at the same time,wale watu waliokuwa pale wanafukuzwa. Uliona ITV leo asubuhi,wanalalamika,it is heart-rending. Au Muhimbili ambapo Wuzara inataka kuwagombanisha madaktari kwa kuwaleta madktari wengine kutoka mikoani. Hili ni jambo baya. Ni lazima waambiwe waache kufanya hivyo.
Au UDSM ambapo vijana altruistic wanauliza wanaweza vipi kusoma wakati wanachuo wenzao wamefukuzwa,basi hilo ndilo limekuwa kosa kubwa sana,wamefukuzwa. Toka lini kuwa altruistic ni kosa?
Kwa hiyo mimi naipinga kabisa sera yao ya kutaka kuwaadibisha vijana. Vijana ni Taifa la leo. Huo ndio ujumbe wa Pope Benedict wa Mwaka Mpya. Kwamba ''let us pave the way to enable the youths to save the world'' Au hujaisoma message ya Pope Benedict at the turn of the year?
Viana wamemwangusha Gadhafi,vijana tunawaona kila siku Syria,Yemen Greece,Italy,,and other places,wanajitolea mhanga. Siyo vijana tu,watoto pia,tey are taking on the dictators. Unaweza vipi kusema kwamba unataka kuwaadibisha vijana,kwamba vijana wanawaza upuuzi tu?
Kweliviongozi wanafanya legitimate duties,wanafanya kazi walizoagizwa kufanya,lakini the outcry agausnt them this time is too great. They must backtrack.
Kwa hiyo maybe you clever ladies can tell me where is my reasoning wrong.? Kwa sababu mimi sikubali watu waonewe kwa sababu kiongozi ni distracted,there is too much to do,he cannot take as much care of every one as he would like to.
Kama we ni dreva wa bajaj lazima uweze kuendesha bajaj. Kama we ni dreva wa lorry lazima uweze kuendesha lorry. Kama wewe ni rubani wa Jumbo jet,nilazima uweze kuirusha Jumbo jet na kuirudisha chini feather touch. Kwa hiyo there is no excuse kwa haya mateso yote ambayo wanacnhi wanalalamika.
 
Machizi ni wengi sana kuliko tunavyo fikiria. Kama maisha yamekushinda na unataka kujiua sasa unatafuta mashahidi?
 
Hii ilikua Jukwaa la Chit Chat.... Nafikiri ndio maana member wengi wa mwanzo walipost kimzaha saana. Naona mods wakahamishia hapa; Huyu Ganesh is disturbed no doubt (Sorry Ganesh that is with all due respect) na ahitaji Psychological doctor ambae ni professional na aelewa indepth minds of such kama Ganesh. There is no way of reasoning.... Hata hivo sijakata tamaa namsoma nakumvutia pumzi... maybe I will reach somewhere.... Not saying I a proffessional; basi tu nipo interested....


Nakutakia jioni njema na wewe pia Dearest.... Hopefully mood iko pouwa! Naomba utume na maombi (for hapa kweli yahitajika! )

Unapoteza muda au hauna vitu vya kufanya. Aliyechanganyikiwa angeweza kuitafuta thread ilipohamishwa na akaendelea kuchangia? Umeona vitu anavyoendelea kutuma??

Huyo ana lake jambo, tusubiri tuone amalize kusema yote.
 
Kuna Mjamaica mmoja pale Speakers Corner, Hyde Park ni maarufu sana, huyu ni mpiganaji wa kweli. Maarufu sana duniani, ni mtu ambae aliandika documentary orijino ya "Blood Diamond".

Namkumbuka kauli yake moja anayoirudia sana anasema Jesus siku akirudi akiamua kufika Uingereza ataombwa visa, akiamua kuingia USA atapelekwa Guantanamo, sijui Ganesh hapa kwetu, Jesus kukuchaguwa wewe umfanyie mpango wa kuonana na viongozi kakuona una wadhifa upi, hebu tujuze kidogo.
 
... Halafu hapa Msasani kuna ukarabati wa nyumba ambao unaendelea for 12 months sasa,Wizara ya Utumishi inafanya ukarabati. They are taking too long,jambo ambalo linaashiria ufisadi labda unafanyika. For one year,the whole of 2011,I was out of the house kupisha ukarabati. Sasa nimerudi baada ya muda kidogo,naabiwa nihame tena ili waanze awamu ya pili ya ukarabati. Ni blasphemy mtu kutaka kufanya ufisadi hapa nyumbai kwa Mwalimu Nyerere. inanihangaisha akili,hapa ni pahali patakatifu. Lakini siyo kwamba it can make me mad.
Halafu tunaishi hapa,which should be a holy place,kuna so much corruption;watu wengine hapa hawajui tofauti kati ya maji na konyagi;watu wengine wanataka kufanya ngono kama bata. Nimeogopa kwenda kwenye mkesha wa 50 years Independence celebrations ,kwa sababu ningeondoka tu nyumbani,labda ingetokea orgy.....
hahahahaha... ingetokea orgy kwani Mama Maria anashindwa kuu manage huo mji au hakai hapo? Huo mji labda ungefungwa kama hakuna mtu bali unageuzwa dangulo. Manake sasa tunagharimia miji miwili (serikali that is) hapo Msasani na Butima, ambako nako kuna li familia kuuubwa, including kina Madaraka na kina Magige, ma professionals waliojichokea na maisha wakaamua kurudi kuishi kijijini kwa baba.

Halafu Ganesh ndo unasema unataka kujiua, eti una shida, bado unaishi Msasani, unatunzwa, unalishwa, na serikali, you kidding me.


 
Yes ,I quite agree with you.kwa hali ilivyo sasa hivi,nyumba ya Msasani ikipigwa na Tsunami haitakuwa jambo baya sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom