Masifa yako ndio yamenifanya nijue kabila lako. Na kwavile umesema Mama yako ni Mwafrika, to be more specific Mtanzania, nikajua tu hawezi kuwa kabila lingine isipokuwa hilo. Kwani uongo? Usikane kabila lako. Nanyi ni watu tu kama wengine ila tunatofautiana tabia tu, mojawapo ikiwa ndio hiyo.Kwa hiyo wewe unayeandika namna hii ndio una nini, University Transcript ama? Kama unayo basi itakuwa ya OUT. Mwenzio alipikwa pale Harvard Law School, wee kazana na misifa yako ya Kihaya aliyokurithisha Mama yako na endelea kupumbazwa na huyo mumeo kaburu by the time akili inakurudia utakuta Commander-In-Chief Barack Obama akipanda Air Force One kutoka Chicago kurudi White House kula kiapo kingine cha kuongoza nchi hadi 2016![/
Aliyekuambia Mimi Mujaya nani .unaprofile watu tu,kwani wahaya sio watu .