Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Ooh ma god
kwa mnaoangalia televission ya emmenuel wako na ibada inaendelea mtumishi wa mungu akasema kuna mtu
ana pete ameipata east africa njoo haraka na unapoendelea kusubiri usiku wa leo hiyo pete inakugeuka
hata muda wa kuja tena church usiweze ametokea handsome mmoja akasema ameipata tanzania akaulizwa
kwa nini akasema amepata kwa ajili ya protection akaambiwa sio kweli sema ukweli
akadai alikutana na kimwana akampenda sanasana na kumgaramia mwisho wa siku akamtosa baada ya hapo
akiwa anaendelea mtuimishi waa mungu akamwambia inatosha kaa pemben mpeleekeni naomba niongee nae
jamani jamani je ndoa ngapi zimefungwa kwa nguuvu za mairizi jamani nahisi ndio maana kuna vituko
kila siku kwenye maisha ya ndoa sababu ni umempataje mwenza wako nisiende mbali zaidi
nahisi baada ya ulevi ni tanzania nomaaaaaaaaaaaaaaaaa
kwa mnaoangalia televission ya emmenuel wako na ibada inaendelea mtumishi wa mungu akasema kuna mtu
ana pete ameipata east africa njoo haraka na unapoendelea kusubiri usiku wa leo hiyo pete inakugeuka
hata muda wa kuja tena church usiweze ametokea handsome mmoja akasema ameipata tanzania akaulizwa
kwa nini akasema amepata kwa ajili ya protection akaambiwa sio kweli sema ukweli
akadai alikutana na kimwana akampenda sanasana na kumgaramia mwisho wa siku akamtosa baada ya hapo
akiwa anaendelea mtuimishi waa mungu akamwambia inatosha kaa pemben mpeleekeni naomba niongee nae
jamani jamani je ndoa ngapi zimefungwa kwa nguuvu za mairizi jamani nahisi ndio maana kuna vituko
kila siku kwenye maisha ya ndoa sababu ni umempataje mwenza wako nisiende mbali zaidi
nahisi baada ya ulevi ni tanzania nomaaaaaaaaaaaaaaaaa