I took this charm from tanzania for protection

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,050
Ooh ma god
kwa mnaoangalia televission ya emmenuel wako na ibada inaendelea mtumishi wa mungu akasema kuna mtu
ana pete ameipata east africa njoo haraka na unapoendelea kusubiri usiku wa leo hiyo pete inakugeuka
hata muda wa kuja tena church usiweze ametokea handsome mmoja akasema ameipata tanzania akaulizwa
kwa nini akasema amepata kwa ajili ya protection akaambiwa sio kweli sema ukweli

akadai alikutana na kimwana akampenda sanasana na kumgaramia mwisho wa siku akamtosa baada ya hapo
akiwa anaendelea mtuimishi waa mungu akamwambia inatosha kaa pemben mpeleekeni naomba niongee nae
jamani jamani je ndoa ngapi zimefungwa kwa nguuvu za mairizi jamani nahisi ndio maana kuna vituko
kila siku kwenye maisha ya ndoa sababu ni umempataje mwenza wako nisiende mbali zaidi

nahisi baada ya ulevi ni tanzania nomaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mtanzania mwingine kapata neema ya kuitwa akaambiwa unatatizo la watoto umekuwa na watoto watatu wanawake tofauti sasa ndoa yako ujawa wazi sasa umekujaa kuomba msaada akamwambia mtumishi wa mungu dont talk much sir dont talk
 
nimeikosa leo monday live service tanesco wametugawia giza! ntasubiri rebroadcast alhamis au ijumaa
 
Ooh ma god<br />
kwa mnaoangalia televission ya emmenuel wako na ibada inaendelea mtumishi wa mungu akasema kuna mtu<br />
ana pete ameipata east africa njoo haraka na unapoendelea kusubiri usiku wa leo hiyo pete inakugeuka<br />
hata muda wa kuja tena church usiweze ametokea handsome mmoja akasema ameipata tanzania akaulizwa<br />
kwa nini akasema amepata kwa ajili ya protection akaambiwa sio kweli sema ukweli<br />
<br />
akadai alikutana na kimwana akampenda sanasana na kumgaramia mwisho wa siku akamtosa baada ya hapo<br />
akiwa anaendelea mtuimishi waa mungu akamwambia inatosha kaa pemben mpeleekeni naomba niongee nae<br />
jamani jamani je ndoa ngapi zimefungwa kwa nguuvu za mairizi jamani nahisi ndio maana kuna vituko<br />
kila siku kwenye maisha ya ndoa sababu ni umempataje mwenza wako nisiende mbali zaidi<br />
<br />
nahisi baada ya ulevi ni tanzania nomaaaaaaaaaaaaaaaaa
<br />
<br />
Tazama vizuri watu wengi unaokutana nao uone walivyojipamba kwa chale shingoni, kifuani, usoni na kwenye viungo vya mikono- nipe tafsiri yake.
 
<br />
<br />
Tazama vizuri watu wengi unaokutana nao uone walivyojipamba kwa chale shingoni, kifuani, usoni na kwenye viungo vya mikono- nipe tafsiri yake.
I am disappointed kwa watu wanaojiita great thinkers kushabikia upuuzi huu. Supersititious rubbish. Pomoja na uelewa wote tulio nao kuhusu Wanaijeria bado mnaamini huyo ni 'mtumishi wa mungu'? No wonder we are what we are!!
 
Back
Top Bottom