Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Ni girl wangu wa cku nyngi sana{ie tangu primary},tulikua tukisaidiana mambo mengi tu,though smtym tulikua tunaznguana na baadae tunasameheana,last tym{ilikua mwaka jana mwezi wa 10} alnambia ana shida flani hvi,nd she was in need of kiac flan hvi cha pesa,ye akatumia lugha ya nimkopeshe,me ckua na kipingamiz nae,nkamtoa fresh,then 2kaendelea na lyf ka kawaida,cha kushangaza tangu mwez wa 11 kanichunia,kila nkpga namba yake naambiwa iko busy,nkituma txts znakua deliverd bt hazijibiwi..wel nimeamua kujivua gamba kwake cuz nadhan she dnt love me anymore though cjui sababu ni nin ilyomfanya achange ghafla namna hyo!