Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
wakati wa kampeni za ARUMERU, lusinde alitoa maneno makali sana, lakini mimi baada ya kusikiliza na kutafakari nimegundua kuna point ya msingi pale iliyokuepo! JE NI VIBAYA au DHAMBI kwa mtoto kufuata kazi ya baba yake? wewe kama mwalimu, ni vibaya kwa mwanao kuwa mwalimu? je wewe kama daktari ni vibaya kwa mtoto wako kuja kuwa daktari? na je ni vibaya kwa watoto wa wanasiasa kuwa wanasiasa hapo baadae? mtoto wa bush alikuja akawa raisi na yeye kama baba yake, je kwetu TZ ni rahisi kweli kwa mtoto labda wa JK au hata MBOWE kuja kuwa wenyeviti wa vyama vyao??