Re: Isee nimejiunga!
Naona Dilunga kishakukaribisha kivyake!"Isee" ndio nini?
"Isee" ndio nini?
Karibu LINC....Hodiiiiiiiiiii waheshimiwa wa Jamii Forums
najua we umeshakaribia japo sio mwenyeji sana.nami pia nimejiunga so i do hope nitakaribishwa kwa mikono miwili na wanajamii wenzangu.
karibu sana kaka hapa ndo home of great thinkers we dare to talk openly
tunategemea mchango wako utakuwa bomba sana.
Nakubali hapa ndo home of great thinkers... thanks bwana Ed and others
cha muhimu umepata concept basi.
Huyu hajapata concept, ndiyo maana kauliza, na angepata asingeuliza, na swali bado halijajibiwa.